Mada yenye ukakasi: Wanawake wenye kinyama njia ya haja kubwa

Dah!!! Mpauko...
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unaroho ya paka mkuu.
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Reactions: THT
Leo hakuna picha na naomba tusiulizane kuwa nimejuaje, wote


Mkuu Mshana jr, ni lazima tukuulize, japo umejiwekea ulinzi mapema na kuuliza si ujinga, kuuliza ni kutaka kujua.

Hicho kinyama kitaalamu kinaitwaje??-- je haiwezi kukatwa kwa njia ya operation??

Je, umejuaje kwamba wanawake wenye hilo tatizo wanayo nuksi katika ndoa??

Je hakuna Wanaume wenye hiyo nyama huko mahala??-- kama kipo kwa wanawake tu je ni kwa nini??
 
kwana ni uongo kuwa hiki kinyama kipo kwa wanawake tu,wanaune pia wanacho na kakina uhusiano wowote ule na kufirana.huu ni ugonjwa kama magonjwa mengine yoyote yale na huwa unatibiwa vizuri tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…