"Leo hakuna picha na naomba tusiulizane kuwa nimejuaje, wote hapa sisi ni watu wazima"###Nimecheka kwa Sauti,ila naomba msiulize kwanini...
Sent using Jamii Forums mobile app
Hii ni kweli nishawahi kuwa na mpenzi mwenye hiki kinyama kwa mawazo yangu nilifkr aliwahi lawitiwa akachanwamaisha yake katika mapenzi n kama alivyosema mdau hapo,binafsi nliachana nae kwa kufikiri labda alilawitiwa kitu ambacho sikipendi.!
Sent from my iPhone using JamiiForums
Kuna ukweli 89% niliyekuwa naye alikuwa nacho alikuwa na nyota ya pesa,ila alikuwa ameachana na wanaume kadhaa baadaye hata na mimi mwenyewe tukaachana,niliyenaye Sasa hivi naye anacho na kazalishwa na wanaume watatu nje ya ndoa nikibahatika kutia mimba Mimi nitakuwa mzazi mwenziwe wa nne
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkubwa nilikucheki PM naomba ufungueHiki hazaliwi mtu nacho bali humuota tu mtu.Vipo internal na external vyote vinatibika.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mtoto wetu wa pili Ana afya mbovu Sana tangia siku ya Kuzaliwa ilikua nimpoteze. Mpaka sasa Ana miaka mitatu anakaukiwa damu tuu bila sababu. Kila Mara tuko hospital
Seriously?Mtoto wetu wa pili Ana afya mbovu Sana tangia siku ya Kuzaliwa ilikua nimpoteze. Mpaka sasa Ana miaka mitatu anakaukiwa damu tuu bila sababu. Kila Mara tuko hospital
Sent using Jamii Forums mobile app
Lazima nikakitoe maana Hali sio Hali Kaka.Kinachangia pia lakini kwakuwa sasa umeshapata hii elimu jaribu sasa kuepusha shari
Jr
Asante Sana Kaka. Barikiwa Sana kwa elimu hiiHapana usichanganyikiwe kama ukiweza kuongea na mwenza wako mnaweza kwenda kukitoa kwa upasuaji
Jr
Chanzo kikuu cha ugomvi wenu ni hicho tena mwanaume unakuwa huna mapenzi naye sana.
Dawa ni kukata tu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kabisa Kaka. Naongea ukweli ni mtoto wangu kabisa. Ilikua hatari Sana mpaka miaka mitatu sasa ni misuko suko Kaka.Seriously?
Jr
Leo hakuna picha na naomba tusiulizane kuwa nimejuaje, wote
kweli mimi sio fisi. .hii kitu sijawahi kukutana nayoTatizo ni hofu kwa wanaume.. Maana wanaona ni ajabu sana mtu kuwa na kamkia
ππduhhHuwa kinakuwa kirefu na husimama wakati wa tendo
Wale wanaopenda kunyonya na kulambalamba kila wakionacho watakuja kutujuza kina test gani