Mada yenye ukakasi: Wanawake wenye kinyama njia ya haja kubwa

Mshana jr; Wewe ni mwalimu wetu wa mambo yalee ya giza. Umewahi kutuwekea mapicha ya kutisha ya majini, wachawi, mizuka etc. Iweje leo; somo kuu namna jii ushindwe kutuwekea kapicha kadogo sana ka kujifunzia?? Sio wote tumewahi kukutana na masahibu hayo. Hata mods wanajua kuwa hukuwa na nia mbaya kuiweka hapa. Weka picha tafadhali au tuelekeze mahali pa kuipata na namna ya kuipata. Mabaharia hawahitaji mapicha yako hayo ya kutisha tisha. Anza na mapicha ya mochware ndio ukiweke humo hiccho kipicha chahuu msiba
 
post no #830
Jr
 
Mkuu Mla PANYA NA Kaka MSHANA naomba ufafanuzi zaidi. Maana mwanamke wangu anacho. Hatuna matatizo ya watoto ila ugomvi kila siku hauishi. Hatuwezi kukaa wiki kwa amani


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…