Kiafya hakina kiimani ndio kama hivyo
Niliwahi kukisikia. Wanasema ni kama kimkia na kinakaa ndani, sina uhakika Mshana Jr naamini huu uzi ni wa muda na wewe una uzoefu hata kwenye kuosha miili. Ongeza kidogo nyama hapa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Inaaminika kwamba ukiwa nacho afya ya mtoto (mdogo mchanga) inadhoofu
Pale pale katikati auKwenye njia ya haja kubwa
Jr
Duh noma sanaYeah
Jr
Tobaaa 🙈 sasa picha kama hizo zinapigwaje?
Wanasema akizaa mtoto anakufa!!
Hicho kinyama kina madhara yoyote
Vipi, unacho!?
Imebidi nikajichungulie aisee
Umetisha mkuu!!
Mshana jr; Wewe ni mwalimu wetu wa mambo yalee ya giza. Umewahi kutuwekea mapicha ya kutisha ya majini, wachawi, mizuka etc. Iweje leo; somo kuu namna jii ushindwe kutuwekea kapicha kadogo sana ka kujifunzia?? Sio wote tumewahi kukutana na masahibu hayo. Hata mods wanajua kuwa hukuwa na nia mbaya kuiweka hapa. Weka picha tafadhali au tuelekeze mahali pa kuipata na namna ya kuipata. Mabaharia hawahitaji mapicha yako hayo ya kutisha tisha. Anza na mapicha ya mochware ndio ukiweke humo hiccho kipicha chahuu msiba
Mkuu Mla PANYA NA Kaka MSHANA naomba ufafanuzi zaidi. Maana mwanamke wangu anacho. Hatuna matatizo ya watoto ila ugomvi kila siku hauishi. Hatuwezi kukaa wiki kwa amaniMwanamke akiota hicho kinyama yafuatayo lazima yamkute.
1.ikiwa ana mme ugomvi huingia na wanaweza hata kuachana wanawake wengi wamepatwa na mikosi ya kutodumu na wapenzi kwa ajili ya hili.
2.huathiri sana watoto na ikiwa mama anacho mtoto akiugua sa1 asbh huenda asifike jioni akawa amekufa. Wanawake wengi wamefiwa watoto ghafla sababu ya linyama kama hili.
3.wanaume pia huota na kuzalisha matatizo kadhaa kwa watoto. Pia mwanaume ukiwa nalo utapata homa kali na haitibiki mpaka ulikate hilo.
Kuhusu uhusiano wa kuleta mikosi ni kugongana na maeneo linakoota. Ni maeneo yasiyohitaji uwepo wa kizuizi chochote hivyo kiotapo kule huwa kipo kama ishara ya kuzuia kitu chochote kusiingie kule ili kiwepo tu. Ulimwengu wa jadi una mambo mengi ambayo ukitaka kuyathibitisha ni kazi na hatari pia.
Unapotaka kuingia kwa mtu then akafunga mlango ni ishara ya kukufukuza. Kile kinafunga njia hata ikiwa si yote ila ile ishara tu ina nguvu ktk tamaduni that's why tunakata.
Dah, uko kama mm mkuuNilishakutana na mdada anacho na mara nyingi tulikua tunagombana nilikua namchukia bila sababu inawekana ni kwa sababu hiyo labda,,dah haya mambo ya mila ni mapana sana