Naona siyo sahihi kwa namna yeyote ile,kwa sababu nikukosa uhuru wa kifamilia(familia ya mke na mume)..na pia patakuwa na utumwa kwa mmoja wenu(mke au mume),na mmoja wenu atashindwa kuonya au kusema chochote atachoona hakiendi sawa kwa kuhofia kuonekana mbaya..
kwa hiyo ndiyo kusema SIYO SAHIHI HATA KIDOGO...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.