Mada ya leo kwa wanandoa

Mada ya leo kwa wanandoa

chakii

JF-Expert Member
Joined
Sep 15, 2013
Posts
21,369
Reaction score
27,785
Je, ni sahihi kwa wanandoa wanapooana kuishi nyumbani kwa wazazi wa mume au mke?

Tujadili na tutoe sababu pia za ndiyo au hapana.
 
Mie naona sahihi endapo nimelazimishwa kuolewa na huyo mwanaume.....ili wazazi wangu nao washuhudie gubu langu.

Ila si sahihi endapo ni ndoa ya halali ambayo mmependana kwa dhati na kuamua kufunga ndoa
 
Mie naona sahihi endapo nimelazimishwa kuolewa na huyo mwanaume.....ili wazazi wangu nao washuhudie gubu langu.

Ila si sahihi endapo ni ndoa ya halali ambayo mmependana kwa dhati na kuamua kufunga ndoa

karibu Madame B
 
Last edited by a moderator:
Labda kama wazazi wanataka kuona kama kijana wao anapiga mzigo nyakati za usiku kwa kutegemea kusikia aahhhssh ohhjjsshj zinakuwaje
 
Kuishi home si sawa. Labda kama kuna ardhi ya kutosha kujenga karibu hapo sio mbaya kama waona ukienda far wazaz watabaki wapweke. Otherwise ni wrong
 
Mimi naona wakiishi mbali mbali ndio good.heshima iwepo
 
Sio sahihi,, kuishi nyumba moja na wazazi na wajukuu humo humo,,, inatkiwa kuwe na distance btwn
 
chakii

Ni sahihi kama wataishi nyumbani kwa wazazi wa mume na kwa muda Fulani na kwa malengo maalum.

Malengo hayo yanaweza kuwa kukusanya fedha za kununua nyumba au kuna sababu ingine maalum.

Inaweza kuwa mume alikuwa ana kajumba kake kadogo na anataka kununua nyumba kubwa ya maana ya familia baada ya kuoa lakini pesa haitoshi.

Wanaweza kuomba kwa wazazi wa mume msaada huo.

Lakini si dhahiri kwenda kuishi kwa wazazi wa mke wako ambako ndiko ulikokwenda kuposa.
 
Last edited by a moderator:
Sio sahihi kabisa.. Wahenga walisema Nyumba haikai nyumba..
 
Naona siyo sahihi kwa namna yeyote ile,kwa sababu nikukosa uhuru wa kifamilia(familia ya mke na mume)..na pia patakuwa na utumwa kwa mmoja wenu(mke au mume),na mmoja wenu atashindwa kuonya au kusema chochote atachoona hakiendi sawa kwa kuhofia kuonekana mbaya..
kwa hiyo ndiyo kusema SIYO SAHIHI HATA KIDOGO...
 
Sio sahihi hata kidogo, ndoa nyiiingi zimevunjia kwasababu wazazai na mawifi na mashemji kuingilia mipango na maisha ya wanandoa.
 
Mie naona sahihi endapo nimelazimishwa kuolewa na huyo mwanaume.....ili wazazi wangu nao washuhudie gubu langu.

Ila si sahihi endapo ni ndoa ya halali ambayo mmependana kwa dhati na kuamua kufunga ndoa

Umeniacha hoi.
Daaaaaaaaah.

Anyway, sio sahihi Hata kidogo.
Ndo mwanzo wa magombano na mitafaruku
 
Back
Top Bottom