Mada ya leo kwa wanandoa

Mada ya leo kwa wanandoa

mimi naona siyo sahihi , kwa sababu nitaona aibu asubuhi kuwaangalia wazazi kwa sababu watahisi usiku nilikuwa nafanywa matusi hata kama sijafanya... au nimekunwa nikatoa kilio cha mahaba nitahisi wamesikia wazazi.. mimi kibubu siwezi
 
mimi naona siyo sahihi , kwa sababu nitaona aibu asubuhi kuwaangalia wazazi kwa sababu watahisi usiku nilikuwa nafanywa matusi hata kama sijafanya... au nimekunwa nikatoa kilio cha mahaba nitahisi wamesikia wazazi.. mimi kibubu siwezi

hahahaaaaaaaa,watanifanya nisitoke nje kwa aibu
 
mimi naona siyo sahihi , kwa sababu nitaona aibu asubuhi kuwaangalia wazazi kwa sababu watahisi usiku nilikuwa nafanywa matusi hata kama sijafanya... au nimekunwa nikatoa kilio cha mahaba nitahisi wamesikia wazazi.. mimi kibubu siwezi


hihi hihi Kibubu... unazibwa mdomo
 
aisee mtu unaweza ukaishi bila amani.... hata mtu akiguna chumbani wazazi watadhani ni shughuli inaendelea
 
kwa wazazi wa mke,,, hata kulala nusu cku mwanaume hutakiwi kabisa,,,,sembuse kuishi iwe ni kwa ke au me......ndo maana mnatakiwa kujipanga vema kabla ya ndoano haijawanasa......
 
Inategemea na mfumo wa familia kuna rafiki yangu baba yake amefariki na mama yake ni mgonjwa wa mara kwa mara na yeye kwao ndio wa mwisho imebidi aoe na mke amemwelewa so wanaishi hapo
 
Inategemea na mfumo wa familia kuna rafiki yangu baba yake amefariki na mama yake ni mgonjwa wa mara kwa mara na yeye kwao ndio wa mwisho imebidi aoe na mke amemwelewa so wanaishi hapo

Kuna hali zingine yani kwa shingo upande inawezekana tena hasa ni hali hiyo ya ugonjwa wa mzazi na kama umezaliwa mwenyewe no one else! Tofauti na hapo si sahihi hasa kwa wakristo maana maelekezo yapo wazi
"Mwanaume atamuacha baba yake na mama yake ataambatana na mkewe nao watakua mwili mmoja"
Neno utamuacha liko wazi. ......Neno utaambatana liko wazi so kwa hoja hii si sahihi kuoa na kukaa na mkeo kwenu.
 
mimi naona siyo sahihi , kwa sababu nitaona aibu asubuhi kuwaangalia wazazi kwa sababu watahisi usiku nilikuwa nafanywa matusi hata kama sijafanya... au nimekunwa nikatoa kilio cha mahaba nitahisi wamesikia wazazi.. mimi kibubu siwezi

Ha haaa
 
mimi naona siyo sahihi , kwa sababu nitaona aibu asubuhi kuwaangalia wazazi kwa sababu watahisi usiku nilikuwa nafanywa matusi hata kama sijafanya... au nimekunwa nikatoa kilio cha mahaba nitahisi wamesikia wazazi.. mimi kibubu siwezi

Matusi yanafanyikaje miss chagga?
 
Back
Top Bottom