Tutake radhi watoto tuliokulia uswahilini, kule ndo kwetu Yale ndo maisha yetu hata kama utaponda ni yaliyojaa mabaya! Wengi wetu humu hatujakulia kwenye mageti na suala la tabia mbaya ni la mtoto mwenyewe na ushirika wa mzazi katika malezi yake!Hii imenikuta kwa mtoto wangu , Mpaka amaefikisha miaka miwili na nusu alikuwa hajui kuongea vizuri nikashindwa kumpeleka shule.
Baadae ikabidi nimtoe nyumbani kwangu nimpeleke kwa shangazi yangu kwake ana wajukuu wengi japo napo ni gate kali ila watoto wapo wengi.
Alipokaa pale kwa muda wa mwezi mmoja na nusu tu nikaanza kuona changes hata nikiongea naye kwenye simu anaongea kitu kinachoeleweka. nilimuacha kwa miezi mitano kisha nikamchukua sasa hivi nikirudii kazini huwa ananisimulia kila kitu hata kama dada wa kazi alimchapa anasema tumrudishie.
Naunga mkono hoja ila sishauri kuruhusu watoto wakacheze na hawa wenzao wa uswahilini kwa sababu wanatabia za hovyo sana sijui huwa wanafundishwa na wazazi wao au huwa wanaiga tu bila kujua kuwa hili ni baya.
Muache mtoto apate muda wa kuchaganyika na wenzie, usiwe too much protective muache aende akajifunze social skills na self defencehiii ni kweli lakini sasa tunafanyaje?
Matatizo ya hizo shule za English medium wanakutana watoto wanaotoka katika maisha flani, ule msuba wa kusugua akili kuteneza mpira wa makaratasi mcheze hawaujui, wanaongelea computer games.
Tatizo linguine ni jiji kukosa viwanja vya michezo kwa watoto maeneo ya makazi ya watu, kama kungekuwa na viwanja vizuri ambavyo watoto wanakutana na wazazi wanakuwa karibu kuwaangalia ni muhimu.
Kwa kweli si mlaumu sana dada yako, dunia imeharibika sana, watoto wanafundishwa kuvuta bangi wakiwa wadogo, lakini pia katika maisha kuna risk unazokumbana nazo. Fikiria huyo mtoto wa dada yako anaweza kwenda kusoma boarding school akimaliza darasa la saba?
Ninaelewa unachoomanisha mkuu, cha kwanza ni kumhimiza mtukufu mkuu wa mkoa atuwekee viwanja vya michezo katika maeneo tunayoishi pia viwanja hivi vi boreshwe kwa viwango flani, kodi si tunalipa bwana.Hii imenikuta kwa mtoto wangu , Mpaka amaefikisha miaka miwili na nusu alikuwa hajui kuongea vizuri nikashindwa kumpeleka shule.
Baadae ikabidi nimtoe nyumbani kwangu nimpeleke kwa shangazi yangu kwake ana wajukuu wengi japo napo ni gate kali ila watoto wapo wengi.
Alipokaa pale kwa muda wa mwezi mmoja na nusu tu nikaanza kuona changes hata nikiongea naye kwenye simu anaongea kitu kinachoeleweka. nilimuacha kwa miezi mitano kisha nikamchukua sasa hivi nikirudii kazini huwa ananisimulia kila kitu hata kama dada wa kazi alimchapa anasema tumrudishie.
Naunga mkono hoja ila sishauri kuruhusu watoto wakacheze na hawa wenzao wa uswahilini kwa sababu wanatabia za hovyo sana sijui huwa wanafundishwa na wazazi wao au huwa wanaiga tu bila kujua kuwa hili ni baya.
Hili ni janga lingine la maisha lina kuja, kuna binti wa miaka 14 alikiri ameshalala na wanaume zaidi ya kumi na aliye anza nae alikuwa house boy, wazazi walikuwa watu wa kusafiri sana, baada ya kunogewa na mchezo mtoto alimtongoza dereva wa school bus, dereva akawa anamshusha yeye wa mwisho, alivyonogewa aliendelea, yeye haangalii status anaangalia nani atamaliza shida zake, awe muuza nyanya gengeni au machinga, yeyote yule.Na wale watoto wanaodendeka visichana kwa visichana +vivulana kwa vivulana kwenye ma school bus wako salama? Suala la Malezi ni kuwaombea watoto wako Mungu awe mlinzi wa kwanza kwao na si maisha ya geti Kali, lakini pia fuatilia mienendo yake kwa ukaribu, maisha haya tunayowapa watoto ya kuwafungia fungia na kuwaacha na Tv pekee kama kitu cha faraja kwao ndio hupelekea watoto kuangukia kwenye utazamaji wa filamu za ngono na ushoga +the lack of social skills
Mkuu nisamehe kwa kukuudhi , Naomba uniwe radhi sana.Tutake radhi watoto tuliokulia uswahilini, kule ndo kwetu Yale ndo maisha yetu hata kama utaponda ni yaliyojaa mabaya! Wengi wetu humu hatujakulia kwenye mageti na suala la tabia mbaya ni la mtoto mwenyewe na ushirika wa mzazi katika malezi yake! Bahati nzuri babangu hakuwaga na uwezo wa kunilea geti Kali kipindi hiko ila kakake alikua na uwezo sana full geti maisha ya gari na viyoyozi vya kizamani,ila Leo hii ukiwaona watoto wake walivyoharibika kwa tabia mbaya walizofunzwa kwa kufungiwa magetini huwezi mtukana mtoto wa uswazi kama mimi ambaye nakifurahia kitaa kwa kunijuza mema na mabaya
Mkuu nisamehe kwa kukuudhi , Naomba uniwe radhi sana.
Kwa kweli hata mimi sikukulia kwenye maisha ya geti kali ila katika zama zetu hatukuwa na michezo ya ajabu sana kama sasa watoto wa sasa hivi.
Hii hali niliyoizungumzia ni ile ya kule ninapoishi mimi sijui kwa mitaa mingine hali ipoje.
Kila siku kuna kesi za wazazi wenye watoto wa kike kuwa mtoto wao kaingizwa kijiti na kitoto cha kiume cha jirani mwengine. Au kuna siku mke wangu alivishuhudia vitoto vikiwa vinagegedana tena havijafika hata umri wa miaka mitano hivi haujiulizi hawa watoto hii michezo wanaiona wapi?
Wazazi wanachumba kimoja mtoto ana miaka minne wakifanya mapenzi usiku mtoto kama hajalala vizuri anaona kila kitu so akiamka naye anataka kupractise kwa wenzie.
Nina mtoto wa kike mkuu so hizi tabia ndizo zilizonitisha kwa hawa watoto wa huku uswahilini kwetu. Sitaki kusikia hata kidogo mtoto wangu ametoka nje ya geti .
Bora aje aharibikie ukubwani kuliko sasa hivi tena wakati mweingine mpaka huwa vinatoana damu kwa hivyo vijiti.
Sitaki kugombana na majirani zangu kwa ajili ya watoto kwa jinsi nilivyo na hasira naweza nikamfunga mtu jela then majirani wote wanione mimi mbaya .
Bora nusu shari kuliko shari kamili . Mtoto wangu akitoka shule ni ndani tu mpaka kesho yake aende shule .
Atacheza game atasikilizwa qaswida kwenye lap top,ataangalia cartoons mpaka atasinzia ila sio kwenda kucheza na vile vitoto maana vinabikiri wenzao katika umri mdogo sana.
Binafsi naishi maisha ya kipato cha kati naishi temeke sio Masaki, watoto wangu woote huwachaganya na watoto wa mtaa wangu kwa kuwapangia ratiba maalum,siku 5 za wiki huyu mkubwa age 6 huwa shule anachelewa kurudi ila weekend jmos asubuhi hufua soksi zake singlendi na kusafisha viatu vyake kisha by saa 4 namuacha akacheze mpaka saa 7akirudi hapo anakula anapumzika alafu analala mchana mpaka saa 10-11 then tunafanya homework, kwenye hayo Masaa ma 3 ya kucheza kuna kutumwa dukani like kununua vocha etc. Huyu mwenye miaka mi 2 (ambaye anatimiza mwezi Dec ) yeye anapata muda mwingi tu wa kucheza na wenzie wa umri wake almost all the time kasoro muda wa kula na kulala mchana, simbani saana yuko active anachangamka anaongea huyo hatari nae Mungu akijaalia mwakani shule ili nipate muda wa kuhangaika na Dada yao ka binti kangu ka pekee ambako kana miezi mi 3, nafanya haya huku nikijua kuna siku sitakuwepo sitataka kuwaachia mzigo watu wengine nataka wazoee watu wa aina zote vipato vyote, wajue namna ya kujilinda na kujiteteaHili tatizo nimeliona sana katika familia za watu wa kipato cha kati, ninamaanisha wale wa nyumba za gate, watoto wanaachwa na house girl ikiwezekana wawili, mdada wa kukaa na watoto na mdada wa kufanya shughuli za ndani.
Watoto hawa wanatengwa wasicheze na watoto wenzao, wasifundishwe tabia mbaya, watoto hawa wazazi wanawaacha asubuhi na wanarudi usiku. Mdada aliyeachiwa watoto yuko busy kuangalia bongo movie na tamthilia.
Mtoto unakuta anafikisha miaka miwili na nusu hajaweza kuunganisha maneno mawili bado anaongea neon moja, pia unakuta mtoto wa miaka miwili na nusu bado anajisaidia kwenye pampers na wazazi bado wanaona ni kawaida.
Watoto wa Uswazi kwasababu ya kucheza pamoja, (hii haepukiki kwa kuwa wote wanaishi nyumba moja ya vyumba sita na mabanda ya uani) huanza kucheza pamoja pale wanapoanza kutambaa, kwakweli inawasaidia sana watoto kujenga social skills, kushare toys, kubuild self defence na pia kujenga upendo.
Sure kabisa ulichokiandika kina mashiko.Ninaelewa unachoomanisha mkuu, cha kwanza ni kumhimiza mtukufu mkuu wa mkoa atuwekee viwanja vya michezo katika maeneo tunayoishi pia viwanja hivi vi boreshwe kwa viwango flani, kodi si tunalipa bwana.
Unanikumbusha pia mazungumzo baada ya habari enzi za mchonga, kuna baba alikuwa anaishi uzunguni, alipita uswahilini akakuta mtoto anatukana, alicheka sana akasema wa kwangu hawezi kutamka maneno haya. Akiwa nyumbani kuna siku alimsikia mtoto wake akitukana alilia sana, akajiuliza kuwa hii tabia amejifunzia wapi? Alisahau kuwa enzi zile za ujamaa watoto walisoma pamoja na kusocilize pamoja.
Hili tatizo nimeliona sana katika familia za watu wa kipato cha kati, ninamaanisha wale wa nyumba za gate, watoto wanaachwa na house girl ikiwezekana wawili, mdada wa kukaa na watoto na mdada wa kufanya shughuli za ndani.
Watoto hawa wanatengwa wasicheze na watoto wenzao, wasifundishwe tabia mbaya, watoto hawa wazazi wanawaacha asubuhi na wanarudi usiku. Mdada aliyeachiwa watoto yuko busy kuangalia bongo movie na tamthilia.
Mtoto unakuta anafikisha miaka miwili na nusu hajaweza kuunganisha maneno mawili bado anaongea neon moja, pia unakuta mtoto wa miaka miwili na nusu bado anajisaidia kwenye pampers na wazazi bado wanaona ni kawaida.
Watoto wa Uswazi kwasababu ya kucheza pamoja, (hii haepukiki kwa kuwa wote wanaishi nyumba moja ya vyumba sita na mabanda ya uani) huanza kucheza pamoja pale wanapoanza kutambaa, kwakweli inawasaidia sana watoto kujenga social skills, kushare toys, kubuild self defence na pia kujenga upendo.
Ninakuelewa mkuu, kingine ni kuwaonya na kuwaasa kwa vitu kama, hakuna mtu yeyote mwenye ruhusa ya kugusa sehemu zako za siri, na kinachokutokea huko chochote niambiea usiogope.Binafsi naishi maisha ya kipato cha kati naishi temeke sio Masaki, watoto wangu woote huwachaganya na watoto wa mtaa wangu kwa kuwapangia ratiba maalum,siku 5 za wiki huyu mkubwa age 6 huwa shule anachelewa kurudi ila weekend jmos asubuhi hufua soksi zake singlendi na kusafisha viatu vyake kisha by saa 4 namuacha akacheze mpaka saa 7akirudi hapo anakula anapumzika alafu analala mchana mpaka saa 10-11 then tunafanya homework, kwenye hayo Masaa ma 3 ya kucheza kuna kutumwa dukani like kununua vocha etc. Huyu mwenye miaka mi 2 (ambaye anatimiza mwezi Dec ) yeye anapata muda mwingi tu wa kucheza na wenzie wa umri wake almost all the time kasoro muda wa kula na kulala mchana, simbani saana yuko active anachangamka anaongea huyo hatari nae Mungu akijaalia mwakani shule ili nipate muda wa kuhangaika na Dada yao ka binti kangu ka pekee ambako kana miezi mi 3, nafanya haya huku nikijua kuna siku sitakuwepo sitataka kuwaachia mzigo watu wengine nataka wazoee watu wa aina zote vipato vyote, wajue namna ya kujilinda na kujitetea
Hakika mama, hilo ni jukumu letu kuwaweka watoto wetu karibu na kuwajaza hofu ya Mungu lakini pia kuwaeleza japo kwa kuwadokeza athari za mambo mbali mbali mabaya ya kiduniaNinakuelewa mkuu, kingine ni kuwaonya na kuwaasa kwa vitu kama, hakuna mtu yeyote mwenye ruhusa ya kugusa sehemu zako za siri, na kinachokutokea huko chochote niambiea usiogope.
mazingira mengine kukutana na watoto kitaaa labda wanapita..Muache mtoto apate muda wa kuchaganyika na wenzie, usiwe too much protective muache aende akajifunze social skills na self defence
Astaghafilullah Mlaani shetani ndugu yangu, Masahibu ya Dunia yapo mengi mno, na usijihakikishie ulinzi wa mwanao kwa geti uliloweka, mbali na kulawitiwa mtaani yapo mazinigira unaishi na watu wa kila aina ambao si ndugu zako au nduguzo ambao wanaweza kukuletea msiba pia M/Mungu anaweza kukutia kofi wewe usiamini kwa kitakachomkuta mwanao awapo shuleni au nyumbani au matembezini, InshaAllahSkuizi mambo yamebadilika we peleka mtoto wako uswazi wakuletee wamemlawiti. Tusifatefate tu kila kitu kama ni mtoto kuongea maadam si bubu ataongea tu kwani nani kakwambia mtoto ni wakuoiga nae stori
Nipo dar ndungu yangu nimehangaika sana kinachonishangaza Tabia zake ni tofauti na watoto wenzake[/QUOT
Sijui kama atakua ametengemaa au laah ila nina ushahuri mdogo tu. Watoto wanatofautiana sana sana na kila mtoto anakua kwa njia tofauti sana hivi vitu naongea nashuhudia kuna mtoto amezaliwa mazingira ya uswahilini yenye watu wengi ila ameanza kujifunza kuongea ana miaka mitano kwahiyo makuzi ya mtoto sometimes hayategemei mazingira ni wakati tu pia mimi kuna wanafunzi nilisomaga nao hawakuwa wanajua kuongea au kujieleza vizuri lakini sasa hivi ni watu wako poa sana kwahiyo you should believe in your kid haya mambo ya autism ni fiction tu maana ukiingia deep ni utahira na dalili zake ni zaidi ya moja yani akiwa hana tabia ya kujitenga watatafuta reasoning nyingine sijui kupanga vitu as if mtoto achague michezo. Cha msingi umpelekee shule mapema, mtafutie cd cartoons za kiswahili, Ongea nae mara kwa mara hata kama hakuelewi fanya kama unamtuma vitu ama unashirikiana nae kufanya kazi yeyote ama mchezo wowote utaochukua attention yake then you to your kid at the same time. Jambo la mwisho usimlinganishe mwanao na wengine huyo mtoto ana makuzi yake kina albert Einstein wamekua hivo pia na haukua ugonjwa.
Najua mkuu,niliposema wataalam sikumaanisha "waganga wa kienyeji wa matunguli".hawa ni watu ambao wana idea na mambo hayo na nadhani wanahusika pia na ukataji wa vimeo.Usiamini wataalamu.
Amelaaniwa mtu amtegemeaye mwanadamu.