mpasuajipu99
JF-Expert Member
- Apr 13, 2013
- 678
- 119
Changanya Asali na chumvi kidogo mpaka katika ulimi wake kila siku asubuhi atasema kwa muda usiozidi siku 7 tumia kisha uje unipe feedback mkuu.
Mkuu hebu tufafanulie kidogo juu ya hii tiba
Changanya Asali na chumvi kidogo mpaka katika ulimi wake kila siku asubuhi atasema kwa muda usiozidi siku 7 tumia kisha uje unipe feedback mkuu.
Nimeshasema maelezo hapo unataka nikufafanulie kitu gani tena? achanganye Asali kijiko 1 na chumvi ya unga kidogo sana awe anamsgulia mtoto kwenye ulimi kila siku mara 1 kwa muda wa siku 7 ataweza kusema.Mkuu hebu tufafanulie kidogo juu ya hii tiba
Nimeshasema maelezo hapo unataka nikufafanulie kitu gani tena? achanganye Asali kijiko 1 na chumvi ya unga kidogo sana awe anamsgulia mtoto kwenye ulimi kila siku mara 1 kwa muda wa siku 7 ataweza kusema.
Nimeshasema maelezo hapo unataka nikufafanulie kitu gani tena? achanganye Asali kijiko 1 na chumvi ya unga kidogo sana awe anamsgulia mtoto kwenye ulimi kila siku mara 1 kwa muda wa siku 7 ataweza kusema.
Ulimi au vyote viwili pia inawezekana.Hivi mtoto kuchelewa kuongea ni tatizo la ulimi au ubongo/ ufahamu?
Wangu hata umchanganye na watoto wenzake anajitengaUsijal dada jaribu kumuweka acheze na wenzake
Wangu hata umchanganye na watoto wenzake anajitenga
Nilishampeleka wakashauri nimpeleke shule ya autism ila hakupewa dawa yoyote. Hivi autism wanaweza kuongea kweli?Kutokuongea na kujitenga peke yake hiyo ni sign ya autism, jaribu kumpeleka kwa madoctor wataalam ikiwa hiyo early entaraction is the best
Nilishampeleka wakashauri nimpeleke shule ya autism ila hakupewa dawa yoyote. Hivi autism wanaweza kuongea kweli?
Nipo dar ndungu yangu nimehangaika sana kinachonishangaza Tabia zake ni tofauti na watoto wenzakeWengine wanaongea lkn ni lifelong dissability ingawaje anaweza ku improve, usimpeleke kwenye shule za autism anaweza akazidi kwakuwa atawacopy wenzake jitahidi aende shule za kawaida na awe anacheza na wenzake hata kama hataki mlazimishe, na pia angalie aina ya vyakula anavyokula kwa ajili diet nayo inasaidia sana , na wengi wanakuwa na allergy akila wheat na pia fizzy drink kama soda especially cocacola na juice punguza anywe sana maji na juice za kutengeneza i mean fresh one, ww huko bongo au nje ya nchi?
Nipo dar ndungu yangu nimehangaika sana kinachonishangaza Tabia zake ni tofauti na watoto wenzake
Nashukuru Hit,
Barikiwa mkuuChanganya Asali na chumvi kidogo mpaka katika ulimi wake kila siku asubuhi atasema kwa muda usiozidi siku 7 tumia kisha uje unipe feedback mkuu.
Nimeshasema maelezo hapo unataka nikufafanulie kitu gani tena? achanganye Asali kijiko 1 na chumvi ya unga kidogo sana awe anamsgulia mtoto kwenye ulimi kila siku mara 1 kwa muda wa siku 7 ataweza kusema.
Changanya Asali na chumvi kidogo mpaka katika ulimi wake kila siku asubuhi atasema kwa muda usiozidi siku 7 tumia kisha uje unipe feedback mkuu.
Nani kakwambia Asali ukichanganya na chumvi ni dawa ya kuhara?Mhh samahani mzizi mkavu.hii dawa yako kama kuna mada nlishaionaga humu kua io asali mix chumvi ni dawa ya kuhara!!.sasa hapa kwako ni tiba ya kuongea!!