Habari wakuu,
Naomba msaada wa mawazo kuhusu hili.
Mwanangu ana umri wa miaka 3 na miezi 8 ila bado hajaweza kuongea vizuri anaongea baadhi ya maneno kama baba, mama, bibi yaani kwa kuyahesabu hayafiki hata 30.
Nimejaribu kumpeleka Muhimbili kitengo cha speech ila tofauti haionekani sasa mitaani nakutana sana na ushauri kwamba nimpeleke kwa watalaam akaangaliwe kama ana UDATA.
Mama yake anasema ameshachunguza watoto wawili na anaona kuna tofauti kubwa katika ndimi zao kwa chini ila sasa hofu yangu ni kweli hili jambo lipo?
Naomba kama kuna ambaye aliishamfanyia mwanae hiki kitu aniambie pia anipe na risk zake.
Asante.
Kumbemenda ndo kufanyaje kiongozi naomba andika kitu kinachoeleweka vizuri maana nataka nimpeleke kesho.Ulimbemenda halafu unakuja kulia lia hapa. Waca uipate fresh
Hii kitu kubemenda sijui unamaanisha ile kuzaa mtoto mwengine wakati huyu bado akiwa mchanga?kama ndo unavyomaanisha basi sivyo mkuu ninaye huyu huyu mmoja.ila nakushukuru kwa maoni yako"UDATA" ndiyo nini?
"Hujambemenda" kweli huyo mtoto?!
Kingine mtoto kuchelewa kuongea inachangiwa na ikiwa mtoto alipatwa na homa/maradhi makali pindi akiwa mchanga.
Mpe pole sana jitahidi kumchanganya na watoto wa uswazi kwenye michezo yake.
Asante sana mkuu...Mwambie mama ake amlambishe mwiko akishapikia
Yah mkuu mtoto anapenda sana kunyonya vidole,asante kwa ushauri.je mwanao ananyonya kidole? kama ananyonya kidole huchangia pia kuchelewesha kuongea. Mwanangu kaanza kuchanganya maneno sasa baada ya kutimiza miaka mitano. Nilimpeleka Aga Khan kulikuwa na speech therapist anaitwa Hilda, ni mama mtu mzima alisaidia kumfanya achanganye maneno.
Usifuate sana shaka za wanadamu maana kila mmoja hujifanya mjuaji, watoto hutofautiana katika makuzi. Kuwa na shaka kama akifika miaka 5 na haongei vizuri. Kwa sasa ni kawaida tu.
Mm binafsi nilichelewa kuzungumza nilipokuwa mdogo na neno langu lilikuwa baba,Habari wakuu,
Naomba msaada wa mawazo kuhusu hili.
Mwanangu ana umri wa miaka 3 na miezi 8 ila bado hajaweza kuongea vizuri anaongea baadhi ya maneno kama baba, mama, bibi yaani kwa kuyahesabu hayafiki hata 30.
Nimejaribu kumpeleka Muhimbili kitengo cha speech ila tofauti haionekani sasa mitaani nakutana sana na ushauri kwamba nimpeleke kwa watalaam akaangaliwe kama ana UDATA.
Mama yake anasema ameshachunguza watoto wawili na anaona kuna tofauti kubwa katika ndimi zao kwa chini ila sasa hofu yangu ni kweli hili jambo lipo?
Naomba kama kuna ambaye aliishamfanyia mwanae hiki kitu aniambie pia anipe na risk zake.
Asante.
kubemenda mtoto ni kufanya mapenzi nje ya ndoa kabla mtoto hajatembea au kuanza kuongeaKumbemenda ndo kufanyaje kiongozi naomba andika kitu kinachoeleweka vizuri maana nataka nimpeleke kesho.
Kwa hiyo?mi mwanangu ana mwaka na mwezi ila anaongea fresh tu....
Eee pilipili tena!!! HahahaJaribu ' Kumlambisha ' sana Pilipili kwa Siku 14 mfululizo mara mbili kwa Siku atawahi kuzungumza mwenyewe.
kama anatamka hata baba inatosha....ni mtoto mwenye uzito wa kuongea...pia achangamane na wenzie usimtenge nao
Ktk hili doctor alinishauri nimpeleke shule ambayo tayari nimeshamuanzisha.nawashukuru sana.Mwanao anapata wasaa wa kutosha pia kujichanganya na watoto wenzie.... ? Hii ni fursa nzuri kwa mtoto kujifunza pia.....
chanyanya asali na chumvi weka chini ya ulimi wa dogoKwa hiyo?
Aisee mkuu ktk hilo kundi nitoe kabisa maana kama ingekuwa kuiona pepo ni kuheshimu ndoa tu basi mimi pepo ingekuwa yangu bila shaka yoyote.ila nashkuru umenifamisha.kubemenda mtoto ni kufanya mapenzi nje ya ndoa kabla mtoto hajatembea au kuanza kuongea