MADA: Tatizo la Watoto kuchelewa kuongea. Ni kipi chanzo chake? Je, nawezaje kutatua tatizo hili?

Mm binafsi nilichelewa kuzungumza nilipokuwa mdogo na neno langu lilikuwa baba,

Tatizo ni nyama au mishipa inayoshika ulimi kwa chini, ukitazama utaona ulimi haunyanyuki vizuri kama ukijaribu tena kutazama mwambie alete ulimi nje hautaona ncha nyembamba ya ulimi,
Hii inatokana na kwamba manesi hawakupitisha kidole sawa sawa wakati Wa kuzaliwa kwa mtoto au mazoezi hafifu uchangani ya kuinua ulimi.

Tiba
Kutafuta wataalamu hospital au kwa wanajamii wajuzi Wa mambo wamkate hata kidogo, Mimi binafsi nilipona baada kukatwa hicho kilimi na bibi yangu ambaye alikuwa na ufahmu Wa mambo ya kitamaduni katika matibabu, lkn baadae mama yangu aligundua kuwa hapakukatwa vizur kwan sizungumzi neno likasika kwa urahisi kwa MTU hata nikitoa ulimi nje hauonyeshi ncha ya ulimi.
Nb
Watoto wengi Wa kiume huchelewa kuongea hata mm ninaye wangu approaching to 2 hajanyoosha maneno.

Kabla ya hospitali kulikuwa na tiba.
Asante sana kwa maelezo mazuri mkuu Ramark ila naomba nikuulize,huko kukatwa ulikatwa ukiwa na umri gani kaka!
 
Pole sn mkuu,kwa tatizo hilo la mtoto wko.turudi katika hoja.
Kuto onge mtoto kuna sababishwa na mambo mengi mkuu.

(1)mbele ya ulimi inawezeka kuna vidoti vyeusi ambavyo vinasababisha ulimi kua mzito,na hushindwa kutamka maneno kwa ufathaha.

(2)chini ya ulimi kunakua na uzi ulio shikamana na ulimi karibia ufike mwisho.ukiwepo uzi huo mtoto anaongea kwa shida sana.

(3)NI maumbile tka kwa mola wetu, mjuzi.
UDATA..ni huo uzi uliopo chini ya ulimi,na tiba yake ni kuukata,nenda k/koo mtaaw Udoe,ulizia kabati.au muone doctar KOYA mtaa wa manyema
 
Pole sana hilo ni janga la weng mi pia wangu ana miaka 3 na miez 5 sasa kuongea kwake ndo hvyo hvyo maneno machache kama mtt wa mwaka nilimpeleka na mimi hospital zote wanasema hana tatizo nikampeleka shule ameanza kuimprove kidogo ila bado na kwa speech therapist hudhuria...sema mkazanie tu na shule acheze na wenzie ataongea muda ukifikia ni ulimi mzito tu wtt wanatofautiana
 
Idadi hiyo ya maneno ni ndogo sana kwa mtoto wa miaka minne lakini hana huo "udata" unaoambiwa. Kwani wewe ukiongea sehemu ya chini ya ulimi inanyanyuka kwa kiasi gani? Kama ndo hivyo angeshindwa kuongea maneno machache sana labda yenye "L". Ile kwamba anaongea japo maneno machache ni ishara nzuri kuwa si kiziwi kabisa. Endelea kumpeleka kwa madaktari bingwa wa eneo hilo. Google pia utapata mawili matatu. Pia maadam nyumbani kuna watu wanaomsemesha au anaowasikia wakiongea hata kwenye TV na redio, huhitaji kumpelekapeleka kwenye nyumba za watu ili aongee; kuwa na subira.
Asante sana kwa ushauri ndugu...
 
Pole sana hilo ni janga la weng mi pia wangu ana miaka 3 na miez 5 sasa kuongea kwake ndo hvyo hvyo maneno machache kama mtt wa mwaka nilimpeleka na mimi hospital zote wanasema hana tatizo nikampeleka shule ameanza kuimprove kidogo ila bado na kwa speech therapist hudhuria...sema mkazanie tu na shule acheze na wenzie ataongea muda ukifikia ni ulimi mzito tu wtt wanatofautiana
Nashkuru sana mkuu...inaumiza sana nafsi unapomuona mwanao anajaribu kukueleza kitu akiwa na furaha kisha wewe huelewi naye anategemea umjibu basi unabaki kujichekesha nayeye anabaki kukutizama usoni...ah ila ndiyo maisha tutafanyaje!
 
Pole sn mkuu,kwa tatizo hilo la mtoto wko.turudi katika hoja.
Kuto onge mtoto kuna sababishwa na mambo mengi mkuu.
(1)mbele ya ulimi inawezeka kuna vidoti vyeusi ambavyo vinasababisha ulimi kua mzito,na hushindwa kutamka maneno kwa ufathaha.
(2)chini ya ulimi kunakua na uzi ulio shikamana na ulimi karibia ufike mwisho.ukiwepo uzi huo mtoto anaongea kwa shida sana.
(3)NI maumbile tka kwa mola wetu,mjuzi.
UDATA..ni huo uzi uliopo chini ya ulimi,na tiba yake ni kuukata,nenda k/koo mtaaw Udoe,ulizia kabati.au muone doctar KOYA mtaa wa manyema

Shukrani mkuu,huyu jamaa Kabati nimeshaenda kuzungumza nae mchana akaniambia niende na mtoto kesho amuone sasa nimekuja hapa kupata kwanza mawazo kutoka kwenu ndugu zangu.

Pia wife ameniambia ameshaangalia kwa watoto zaidi ya mmoja hapa kwenye ulimi pana tofauti kubwa sana na huyu mtoto wetu.pale Udowe huyu jamaa alihama nyumba ilivunjwa sasa ivi yupo K/koo na Chura.

Najaribu kuchambua shauri ninazopewa hapa nadhani mpaka kesho nitakuwa nimeshapata maamuzi sahihi.Asante sana!
 
We muuaji.kjaa
Huyu jamaa huwa anatafuta kutukanwa ili aanzishe ligi zisizokuwa na maana ila wengine tunachukulia ustaarabu tu tunamuacha kwani kurushiana maneno mabovu mitandaoni hatuwezi.
 
Back
Top Bottom