Ligogoma
JF-Expert Member
- Aug 27, 2010
- 3,503
- 6,377
😂😂😂Huyu alikupenda ulikuwa unamsikiliza na kumjibu! Wengine hawana time na watoto!!Mwanangu wa sita kuzaliwa alikua anasubiri nikirejea anaanza kutoa mashtaka...
Aaa baba.....
Kisha naitika, then anasema
Aaa mama akuma chini...🤣🤣
Kisha namuuliza, ikawaje
Then anajibu, akuma aaamimi achafuka sana....😂😂
Then baada ya hapo, namuuliza tena unasemaje??😆😆
Wakati huo alikua anaumri wa mwaka mbili na nusu....😅😅
Hongera sana