BANGO JEUPE
JF-Expert Member
- Nov 21, 2015
- 3,060
- 2,115
Nimefikiria kumpeleka day careWatoto wa kiume kuchelewa kuonge sio ajabu. Kama anaimba hiyo si dalili mbaya. Jaribu kumbadilishia lugha pia.
Nimefikiria kumpeleka day careWatoto wa kiume kuchelewa kuonge sio ajabu. Kama anaimba hiyo si dalili mbaya. Jaribu kumbadilishia lugha pia.
Kaanza kuongea ana umri gani ndugumkuu mm wangu ana miaka mi 4na miez miwili n wa kike.. lakin anaongea mambo ambayo ata hayaelewek. kuunganisha maneno hawez kabixa. lakin baba mama dada kaka bibi anajua kila kitu
Mwanangu wa sita kuzaliwa alikua anasubiri nikirejea anaanza kutoa mashtaka...
Aaa baba.....
Kisha naitika, then anasema
Aaa mama akuma chini...🤣🤣
Kisha namuuliza, ikawaje
Then anajibu, akuma aaamimi achafuka sana....😂😂
Then baada ya hapo, namuuliza tena unasemaje??😆😆
Wakati huo alikua anaumri wa mwaka mbili na nusu....😅😅
Yes day care inasaidia lakini ukipata muda ongea nae Kiingereza, daddy, mummy, soap evt. Akiweza kuunganisha manemo mawili kama daddy soap ni dalili ataweza sentence.Nimefikiria kumpeleka day care
Nimefikiria hilo ndugu AsanteSina uzoefu sana na hili ila jaribu kumpeleka shule za vidudu akachanganyike na wenzie, wataalam wanadai inasaidia
Akuma achafuka sana....😂😂😂Mama akuma chini 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Kweli kabisa mkuu ila kuna wakati nashindwa kujizuia nafikiria labda mwanangu ana tatizoAlafu mkuu....
Kwenye swala la malezi, nakushauri sana uachane na fikra za majirani.
Mlee mwanao kwenye maadili ambayo wewe unaona yanafaa na pia wafundishe wanao nidhamu pamoja na kumjua Mungu
Kwa maelezo ulio yaandika, naomba nikuhakikishie kwamba mwanao hana tatizo lolote.Kweli kabisa mkuu ila kuna wakati nashindwa kujizuia nafikiria labda mwanangu ana tatizo
Akuma achafuka sana....😂😂😂
mwanangu alikuwa na miaka 2.5 akawa hajui kuongea yani Zaidi ya kuita mama ishu kubwa alikuwa anashinda na dada wa kazi tu ndani lakini baada ya kumpeleka baby care aisee ni chiriku japo anachoongea hakipo straight so umri bado sana kuongea ni moja ya matendo yanayohusisha long time learning na ubongo hasa so sio simple tu kuweza kuamza kuomgea mapema hasa kama hashindi na kucheza na watoto wenzie.
Kabisa mkuu, kijana ana afya njema and he's one of the best student kwa classHahahahaha nani kamchafua Akuma Mkuu 😂😂 natumai yuko vizuri sana sasa hivi.
Kabisa mkuu, kijana ana afya njema and he's one of the best student kwa class
hata wazazi wengi hwawaongeleshi watoto wao wanaongea maneno mara chache sana kuwakataza labda na kuwaambia waseme majina ya vitu.Kuwaongelesha watoto wachanga kila mara na kardinaal wanavyoendelea kukua husaidia sana katika kuharakisha kuongea kwao kwa wengi wao. Usikute huyo dada wa kazi alikuwa hamuongeleshi kabisa.
Achana na maneno ya majirani kwenye malezi, watakupoteza! Lea mtoto vile waona sahihi kwako.Huyu Mwanangu Wa Kiume , Ana Umri Wa miaka miwili na Miezi Miwili, lakini Ajabu Hadi Sasa hajui kutamka Mama Wala baba Yeye Akishamka Ni kuguna Tu Na Kuimba hadi Siku Inaisha Ni Mhhh..... Aahhhh
.... Eeeeh.......!!!
Majirani Wanamsema Vibaya Kuwa Mtoto Mkubwa lakini Anazidiwa Hata Na Wadogo wenzie yaani Hajui kuongea chochote, hii Inanipa Stress Mimi Kama Mzazi Najisikia Vibaya Sana Na Sijui Nifanyeje Ili Mwanangu Aongee
Naombeni Mnisaidie Jinsi gani Nitamfanya mwanangu Ajue Kutamka Maneno kama baba n.k
Mama yake anamsomeaga moja, mbili... Hadi 10Yes say care inasaidia lakini ukipata muda ongea nae Kiingereza, daddy, mummy, soap evt. Aliweza kuunganisha manemo mawili kama daddy soap ni dalili ataweza sentence.
hata wazazi wengi hwawaongeleshi watoto wao wanaongea maneno mara chache sana kuwakataza labda na kuwaambia waseme majina ya vitu.
Wewe mwenyewe hujui Sasa mtoto utamsaidiaje maana uandishi wako ni wa ajabu mwanao atajifunza kwa Nani?mkuu mm wangu ana miaka mi 4na miez miwili n wa kike.. lakin anaongea mambo ambayo ata hayaelewek. kuunganisha maneno hawez kabixa. lakin baba mama dada kaka bibi anajua kila kitu