Bata batani
JF-Expert Member
- Nov 11, 2011
- 3,183
- 3,547
Kuna msemo usemao maisha ni safari ndefu kama ni ndio je ivi unazungumziaje swala la kuachwa mbali kimaisha either na marafiki au watu wako wa karibu ambao mmekuwa wote tangia mkiwa watoto na mmecheza wote.
Lakini baada ya miaka kadhaa wenzako unawakuta wapo mbali katika maisha na kimaendeleo wakati wewe mwenyewe upo pale pale lakini pia ukiwaona huwa unajisikiajee
Lakini baada ya miaka kadhaa wenzako unawakuta wapo mbali katika maisha na kimaendeleo wakati wewe mwenyewe upo pale pale lakini pia ukiwaona huwa unajisikiajee