Tojo
JF-Expert Member
- Dec 25, 2014
- 1,810
- 3,087
Nilimaanisha K Vant. Pole kwa mawazo mchanyato!Yaani unamwambia mwanamke sehemu kuwa kuna K za kutosha.....nadhani ulijua ni mzee baba
United Fan
View attachment 1020701
Maisha bila pombe yafaa nini??nipo na demi kitaani...mchana kweupeeee
Hahahaha, hamjambo warembo wa JF na walipa kodi wakudumu
MTC | 101|
Kinywaji kimeisha mkuu, unaachaje kusapoti warembo?Hahahaha, hamjambo warembo wa JF na walipa kodi wakudumu
MTC | 101|
😅😅😅Kinywaji kimeisha mkuu, unaachaje kusapoti warembo?
Kinywaji kimeisha mkuu, unaachaje kusapoti warembo?
Hahahaha, hamjambo warembo wa JF na walipa kodi wakudumu
MTC | 101|
hatujambo mkurugendhi...karibu tulipe kodi
Ningoje nini acha ubahili basHahahaha ngoja kwanza
MTC | 101|
Mlevi yupo radhi akununulie pombe lkn kukupa pesa ni shida
Ningoje nini acha ubahili bas
😅😅ww ni mlevi?Mlevi yupo radhi akununulie pombe lkn kukupa pesa ni shida
Mlevi yupo radhi akununulie pombe lkn kukupa pesa ni shida
Mnywajiww ni mlevi?
thawaMnywaji
View attachment 1020701
Maisha bila pombe yafaa nini??nipo na demi kitaani...mchana kweupeeee