mandwa
JF-Expert Member
- Aug 13, 2013
- 1,438
- 326
Nimeamua kujiwasha Gongolamboto leoView attachment 1254604
Mihadarati labdaWadau natafuta kilevi ambacho hakina harufu kabisa ila nitalewa
Nipo Tripple B ....nabagazaKing'ole inn pub nalipa kodi mdogo mdogo View attachment 1256866
nilipita juzi hapoKing'ole inn pub nalipa kodi mdogo mdogo View attachment 1256866
Juzi nilikuwepo ndugu ,kwa sasa Ndio Natoka Hapa na haka kamvua,nilipita juzi hapo
Pamoja mkuu..Juzi nilikuwepo ndugu ,kwa sasa Ndio Natoka Hapa na haka kamvua,
Nimependa huu mchanganyiko,uko powa kweli?View attachment 1257969 since it’s Friday
Nimependa huu mchanganyiko,uko powa kweli?
Ilishawahi nikuta ila nikawa nakula nashiba full na maji mengi ndio naweka vyombo saivi namkaga siumwi kabisa Tena asubuhi mapema kabisa nakazia na mtori vyombo vinaanza tenaJamani mimi nina tatizo la kutapika sana asubuhi baada ya kunywa vodka ama gin ama brandy yoyote usiku. Yani nikiamka asubuhi natapika hadi damu wakati mwingine, mwanzoni sikuwa na hili tatizo, yaani hata nikichanganya na bia bado naumwa yani kuna siku nashindwa hata kuamka. Kuna mtu ameshawahi kutana na hii kitu? Tunaishindaje?