Uzazi wa Mpango
JF-Expert Member
- Apr 4, 2012
- 1,382
- 1,232
Wanajiita watoto wa mjini...wana kaushamba flani hvtatizo pale wanapenda kujaza mabia mezani sana..hivi ni fashion maeneo yale au?
Wanajiita watoto wa mjini...wana kaushamba flani hvtatizo pale wanapenda kujaza mabia mezani sana..hivi ni fashion maeneo yale au?
mwailubi pale ni patamu mbeya nzima pametulia sanaTukutane sebuleni hapo Mwailubi
mimi ase nilikuwa nashangaa sana nilipofika,mwishoni nikaishia kukaa pub zangu za mtaani tu pasipo na makuu aseWanajiita watoto wa mjini...wana kaushamba flani hv
pale uende siku ambazo sio weekend utainjoy sio siku zingine kazi kuchafua meza tu sifa nyingimimi ase nilikuwa nashangaa sana nilipofika,mwishoni nikaishia kukaa pub zangu za mtaani tu pasipo na makuu ase
Yah napakubali sana hapo ndio sebulenimimi ase nilikuwa nashangaa sana nilipofika,mwishoni nikaishia kukaa pub zangu za mtaani tu pasipo na makuu ase
am humbled you knowMashaAllah
hahahaaaaHilo picha ya pili ndio beberu haswaa,linalotufanya tunarudi nyuma kimaendeleo hahah
Ata Pson pale pa ukweli nlkua mchana hapomimi ase nilikuwa nashangaa sana nilipofika,mwishoni nikaishia kukaa pub zangu za mtaani tu pasipo na makuu ase
yes kimara ukifika tu tuwasiliane mi nitafka pale mida ya saa moja karbu tufurahiideyii mkuu
mkuu umekosa kikao usafir upo kama hauji na wa kwako nakufikisha unapohitaji nipo bado naburudiika welcome QueenKimara siwezi kuleww huko. Kwanza njia yake tu siipendi
Mimi nimeona mguu na mkono tu