The August
JF-Expert Member
- Oct 9, 2018
- 1,080
- 2,024
Kuna sehem nampigania, kazi nyakati hizi zina ugumu sana. Ila Mungu hashindwi.Wakuu pamoja na kula burudani embu tumchekie huyu kijana chance yeyote ya ajira ili kuweza kusukuma na yy gurudumu la maisha :najua walevi tunapendana na kusaidiana kijana huyu amenifata pm mara kadhaa na kuna baadhi ya vigezo angekuwa nazo ningemsaidia so naomba mwenye chance yeyote ya kazi tumsaidie .
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app