BUMIJA
JF-Expert Member
- Oct 19, 2011
- 5,818
- 11,001
Mkuu nisaidie kazi huko Tabora! Nahitaji sana.msaada wa ajira. Nipo Mwanza
Madam zisishuke chini zaidi ya tumboAlivaa na kanga raia wamemvua waone mazingira vyombo vishuke sawasawa,
Sent using Jamii Forums mobile app
Saa ngapi katibu duuhMimi bado netwrk ina search sijaingiza vitu leo nlirudi saa mbili asubuhi.....natafuta kasi ya kuanza gambe
Ova
Sent using Jamii Forums mobile app
Doh mtatuona tu mkiwa mnarudi
Doh mtatuona tu mkiwa mnarudi
Nakumbuka kuna farther mmja alikuwa analiongoza kanisa la katoliki kwa pinda
Anaitwa fr gasper huyo alijaribu sana kutuvuta kanisani
Maana kila jumapili saa 12 asubuhi alikuwa anatuona tunapiga vyombo
Alikuja kunyoosha mikono juu katuambia anasubiria miujiza tu sasa maana kashaongea sana mpk kachoka
Ova
Sent using Jamii Forums mobile app
Walevi hatukomi licha ya kukutana na visanga vya pombe tunarudi tena wenyewe