Mother Confessor
JF-Expert Member
- Jan 7, 2016
- 18,596
- 45,225
Mahaba na pombe aiseee vitu amazing sanaa..Asante sana, ila Bwana Pombe.. Nzuri ase
Mahaba na pombe aiseee vitu amazing sanaa..Asante sana, ila Bwana Pombe.. Nzuri ase
Vipi unatumia??Mahaba na pombe aiseee vitu amazing sanaa..
Natumia aseeVipi unatumia??
unapenda ipi?Natumia asee
NdioWe umejenga???
Richard Selgado(RS)unapenda ipi?
Mimi ni Mtumiaji ila hio Pombe yako siijuiRichard Selgado(RS)
Dewatering
We goma tu sisi tunaoipenda nchi tutakunywa ili mpate dawa hospital.Nimeshangaa kuona baadhi ya Bar bia zimepanda bei tofauti na matarajio yangu badala ya kuwa 1000 kwa bia ndogo kutoka 1500 sasa ni 1800.
Zikifika 2000 wallah naanzisha mgomo.
Nimefululiza kulewa last week ikabakia kidogo niachwe na wife.Eti niwe nanywea nyumbani mambo gani haya sasa!
Juzi nimekula cocktail ya mbege, juice na bapa.. Nimeishia kuparamia mpango wa jirani nikijua wa kwangu. Naona aibu natoka sa 11 alfajiri kurudi saa sita usiku.View attachment 863199
Lakini angalia Mkuu,huyo hana tofauti na The Bingwa na Mpinzani wake The Kickpilsner king ananishawishi nimtose ndugu yake balimi..
Aisee hii ni Ligi ya Mabingwa barani Ulaya,one mistake one goalZungusha kama imekwisha
View attachment 863345
Haifai kabisa,kipimo ni 3 tuu zaidi ya hapo Dunia itakubeba.iyo kitu ya King sijawahi kutana nayo mkuu
Hata ndege wamejengaNdio