Blaki Womani
JF-Expert Member
- Feb 28, 2011
- 11,229
- 13,431
Ubishi wa beerTpo tnaendeleza libeneke
Mastori tu hapa
Hapa kila mtu anajuaaa yaani basi ubishiii
Ova
Ubishi wa beerTpo tnaendeleza libeneke
Mastori tu hapa
Hapa kila mtu anajuaaa yaani basi ubishiii
Ova
Hamna Wana wanapenda storiUmekuwa hirizi ya mangi
Loh best dakika chache hujaonekana inquiries kama zote... Kidogo ianze kampeni ya #bring back our Blaki Womani... Sangoma wako kibokoSibishi nikiwa kama mweka hazina ninaanda tuzo
😂😂🔥🔥🔥🔥✌👊💪kanakomaza msuli mkuuuuubwa
Hata mimi namtafutahivi @blaki woman yuko wapi?
huku Wanaambiana Asalam aleykum bar... 2010 nilikuwa namtumbo. pale songea mjini kuna bar moja totoz zimejaza hatariWadau karibuni sana. Tunapambana na hali zetu nipo zangu mkoani huku maeneo ya kusini mwa Tanzania naitazama bahari huku nikipata hiki kinywaji. Tatizo bar za huku mapema tu wameshafunga.View attachment 969176
Hata mimi namtafuta
Kazimuesinywi kitu nna hangover toka juzi..kuna bishost kaniita kizembe fika pale nakuta mambo hv mbaya zaid sikua nimekula siku nzima
hahaa yaan hpa ni zaid ya mgonjwa ila moyo unanishawishi unaniambia manengelo toka ukanywe redds 3 urudi upumzikenaikataa haitak inanijia tu !!Niombee (in magu voice)
Bab kubwaWadau karibuni sana. Tunapambana na hali zetu nipo zangu mkoani huku maeneo ya kusini mwa Tanzania naitazama bahari huku nikipata hiki kinywaji. Tatizo bar za huku mapema tu wameshafunga.View attachment 969176
Kula bia mkuuWeekend mapema kabisa....View attachment 969054
am fit..ninazimua hapa😊😊..mentally fitKazimue
Noma sana mimi nipo maeneo ya Lindi nawaangalia wazee wa korosho wanavyopata mbili tatu huku nikijumuika nao. Hakika tuna mengi ya kusimulia kama walevi. Unapata marafiki mapema tu nakujua jamii yao haraka tu kwa sababu pombe inatoa ushirikiano uliotukuka.huku Wanaambiana Asalam aleykum bar... 2010 nilikuwa namtumbo. pale songea mjini kuna bar moja totoz zimejaza hatari
Chukua take awayWadau karibuni sana. Tunapambana na hali zetu nipo zangu mkoani huku maeneo ya kusini mwa Tanzania naitazama bahari huku nikipata hiki kinywaji. Tatizo bar za huku mapema tu wameshafunga.View attachment 969176
Unqjisevia tu
Yah ndio ninachofikiria kufanya. Siwezi kuvumilia hii hali nimezoea mida mibovu sasa mambo ya kufukuzana bar ndio nimeyakuta huku. Ukiambiwa tembea uone kweli utaona mengi. Sijawahi kuona mtu anafukuzwa bar ila nimeikuta huku kusini.Chukua take away
Vuta raha best hiyo YOLOHamna Wana wanapenda stori
Si unajua mabaharia stori kibaooo
Ova
Hahahaah eti Sangoma nimecheka sanaLoh best dakika chache hujaonekana inquiries kama zote... Kidogo ianze kampeni ya #bring back our Blaki Womani... Sangoma wako kiboko