Mada maalum ya walevi na wanywa Pombe

Kichangamsha akili
IMG_20200709_110202_1.jpeg
 
Wakuu Jana nimepata aibu sana mtaani' daa nilikua napiga konyagi maeneo ya mtaani gafla unga zi ukazidi maji, si nikateguka mguu mara chini puuu na nikashindwa kuamka, daaa basi jama mmoja akaja kuniokota na kunisindikiza home, kwa wife full kuyumba , yani wapangaji wote awaamini aisee, nimejifungia tu ndani naona aibu kutoka.
Naombeni msaada naachaje pombe
Hebu njoo Texas Bar, Goba mwisho tujadili kiundani
 
Back
Top Bottom