RugambwaYT
JF-Expert Member
- Jan 11, 2014
- 1,385
- 1,863
Wadau nina shida kwenye Toyota Altezza, gari inatembea fresh ila unapokanyaga mafuta na RPM inapofika 2(2000 rpm) au karibu na hapo naskia gari inakuwa inatoa muungurumo nisiouelewa....Yani inakuwa something like gari ina mafua, na pia huwa inatokea ninapopanda milima nikiwa kwenye iyo RPM...Plus inaposhift kutoka gear no 1 kwenda 2, inakuwa kama inakita.....nimebadili Plugs mara 3 lakini naona hali ni ile ile...Gari ni Toyota Altezza, Engine ni 4 cylinders YAMAHA 3S,
Wadugu...naomba kujua....nahitaji kujiunga na chama cha waendesha passo mjini...sasa kuna za cc990...cc 1000 na cc 1290....naomba msaada wa kujuzwa injin ipi bora katika hizi??! Asante
1. Engine oil BP sh 60,000/- oil filta ya kawaida sh 10,000/- Gia boxi oil BP sh 80000 service charge sh 15000/-.
2. Fire extinguisha 1kg sh 20,000 hadi 25,000 pale mileniam tawa kwa nje
3. Triangle 2 sh 8000
4. Bima kwa gari ya 10mil comprehensive sh 300,000 ila naskia siku hizi wameongeza na vat so andaa sh 400,000. Ila kwa magari used haya ya kijapani huwa tunaweka third party (kama wewe ni dereva mzoefu na sio Lena) sh 100,000 may be plus vat 118000.
Wakuu hivi nikiwa nimeweka comprehensive insurance nafaidika nini?, kwasababu nikigongwa mlipaji anaenda kunitengenezea gari, nikigonga inabidi mimi nikamtengenezee gari. Cc mshana jr
Toyota IST vs Carina Ti, nichukue gari gani hapo wakuu? Bajeti yangu ni 10M
Nakushauri uchukue carina Ti