Chrismoris
JF-Expert Member
- Oct 27, 2017
- 13,550
- 16,631
Mmmh kwamba amekimbia nchi kabisa ?Nadhani marekani, nimesahau state.
Ndio(kiigizo) kila wakimtaja wanazungumza kana kwamba yupo abroad marekani anakula maisha.Mmmh kwamba amekimbia nchi kabisa ?
Tupo wengi.Samahani hivi hapa mnaangalia ile inayorushwa ITV?
Ila wapo nyuma sana ,wanonyesha ya last year!
Mi mdau wa isidingo,lakini naangalia kwa u-tube hii ambayo ni current
Unaandikaje mkuu kuipata u-tubeTupo wengi.
Karibu.shukran mkuu
Unaandikaje mkuu kuipata u-tube
I hope ushenzi wake utakuja kuonekana baadae.
I hope ushenzi wake utakuja kuonekana baadae.
Hii Tamthilia ni sawa na Umri wanguMna moyo kweli, tamthiliya tangu kama sikosei 1995/6 iko tu na nyie manayo tu?