Mada maalum kwa wanandoa

Hivi umenielewa kweeli mkuu?? Ungekuwa wewe, unamfanyia kila kitu mkeo afu yeye haoneshi kujali hata kidogo,ungekuwa mnampenda tuu hivohivo jinsi alivyo eeh...unasema tu wewe
na hapo ndipo mnapokosea nyie wadada.
kama umempenda mtu mpende jinsi alivyo na sio utake kumfanya vile unavyopenda wewe awe!!
 
Pole sana bibie.... ila mbka umekubali kuolewa nae nahisi kuna vitu unavyopenda alikuwa anavitimiza
Daaah ndoa ni changamoto sanaa, , nimeishi na huyu hubby kwa miakaa 5 , uchumba miaka 5 hila hakuna alichovuna hadi leo hajui napenda nini, sipendi nini...binafsi nimejitaidi kwa asilimia kadhaa najua nini anapenda nini apendi, , sasa kwangu imekuwa ngumu kila siku kumuelewesha kwamba sipendi hivo nataka hivi, , , so kwa sasa nimeamua kunyamaza afanye anavojiskia.....nimechoka kuwa na mapenzi ya upande mmoja yaani nakuwa kama mimi ndo nampenda sana yeye hanipendi, kwa sasa nimeamua kuishi niwezavyo vyovyote sawaa tu, nafanya vitu nipendavyo kanifundisha kuwa mbinafsi, ...sa hivi ananilalamikia mbona umebadilika , namjibu hakuna niko poa....ko tunaishi ili mladi siku ziende tuu!nimechoka kumuelewesha...
 
.
tapatalk_1573796831963.jpeg
 
Hii ndoa ipo ICU
Daaah ndoa ni changamoto sanaa, , nimeishi na huyu hubby kwa miakaa 5 , uchumba miaka 5 hila hakuna alichovuna hadi leo hajui napenda nini, sipendi nini...binafsi nimejitaidi kwa asilimia kadhaa najua nini anapenda nini apendi, , sasa kwangu imekuwa ngumu kila siku kumuelewesha kwamba sipendi hivo nataka hivi, , , so kwa sasa nimeamua kunyamaza afanye anavojiskia.....nimechoka kuwa na mapenzi ya upande mmoja yaani nakuwa kama mimi ndo nampenda sana yeye hanipendi, kwa sasa nimeamua kuishi niwezavyo vyovyote sawaa tu, nafanya vitu nipendavyo kanifundisha kuwa mbinafsi, ...sa hivi ananilalamikia mbona umebadilika , namjibu hakuna niko poa....ko tunaishi ili mladi siku ziende tuu!nimechoka kumuelewesha...
 
Back
Top Bottom