Jhounne
JF-Expert Member
- Jul 12, 2018
- 1,093
- 2,522
omba msamaha was Raisi utoke aiseeHongera sana. Ngoja sie tupambane na jela yetu ya kujitakia
Maisha mafupi sana
omba msamaha was Raisi utoke aiseeHongera sana. Ngoja sie tupambane na jela yetu ya kujitakia
na hapo ndipo mnapokosea nyie wadada.
kama umempenda mtu mpende jinsi alivyo na sio utake kumfanya vile unavyopenda wewe awe!!
Daaah ndoa ni changamoto sanaa, , nimeishi na huyu hubby kwa miakaa 5 , uchumba miaka 5 hila hakuna alichovuna hadi leo hajui napenda nini, sipendi nini...binafsi nimejitaidi kwa asilimia kadhaa najua nini anapenda nini apendi, , sasa kwangu imekuwa ngumu kila siku kumuelewesha kwamba sipendi hivo nataka hivi, , , so kwa sasa nimeamua kunyamaza afanye anavojiskia.....nimechoka kuwa na mapenzi ya upande mmoja yaani nakuwa kama mimi ndo nampenda sana yeye hanipendi, kwa sasa nimeamua kuishi niwezavyo vyovyote sawaa tu, nafanya vitu nipendavyo kanifundisha kuwa mbinafsi, ...sa hivi ananilalamikia mbona umebadilika , namjibu hakuna niko poa....ko tunaishi ili mladi siku ziende tuu!nimechoka kumuelewesha...
omba msamaha was Raisi utoke aisee
Maisha mafupi sana
Utumwa wa kijinga, hata mimi siwezi kubaliyaani anakupangia matumizi ya hela yako,utumwa gani huu!!!
Hulazimishwi ila ukiingia tu lazima cha moto ukipate,uzuri kuoa hukulazimishwa
Nilikuwa na expectations nyingi sana, kama kujenga familia bora na vitu vingine kadha wa kadha, lakini nilichokikuta ni tofauti kabisaayaaa!!! kwa nini??
Yaaap, ndo maana bado niko hapaa...napambana na hali yangu!Pole sana bibie.... ila mbka umekubali kuolewa nae nahisi kuna vitu unavyopenda alikuwa anavitimiza
Daaah ndoa ni changamoto sanaa, , nimeishi na huyu hubby kwa miakaa 5 , uchumba miaka 5 hila hakuna alichovuna hadi leo hajui napenda nini, sipendi nini...binafsi nimejitaidi kwa asilimia kadhaa najua nini anapenda nini apendi, , sasa kwangu imekuwa ngumu kila siku kumuelewesha kwamba sipendi hivo nataka hivi, , , so kwa sasa nimeamua kunyamaza afanye anavojiskia.....nimechoka kuwa na mapenzi ya upande mmoja yaani nakuwa kama mimi ndo nampenda sana yeye hanipendi, kwa sasa nimeamua kuishi niwezavyo vyovyote sawaa tu, nafanya vitu nipendavyo kanifundisha kuwa mbinafsi, ...sa hivi ananilalamikia mbona umebadilika , namjibu hakuna niko poa....ko tunaishi ili mladi siku ziende tuu!nimechoka kumuelewesha...
Jinase unasike,ndoa ndoano,hivi huu msemo walimaanisha nini??
Cc UnforgetableKuna passion of love na kuna maisha ya ndoa, usipoenda kwa akili unaishia talaka
Jr
Play safe, Maziwa ya kunywesha watoto wenu hatuna