Kasie
Platinum Member
- Dec 29, 2013
- 22,801
- 43,177
asante sana dadii huko ulipo..uliwakilishe vyema kabila lako😂😂💪👍
Hehehehehe manee banaa, unajua kabila la Dadii..???!
asante sana dadii huko ulipo..uliwakilishe vyema kabila lako😂😂💪👍
Jamani mane
Hehehehehe manee banaa, unajua kabila la Dadii..???!
hv ndo naingia bed nijaribu kulala..had kichwa kinauma😂😂 ...!
nilishindwa kukujibu siku ile pm coz ulichoandika ndo nilochokipata..dadek..3wks nw nipo kitaa
..naumiaa naliaa...nimemuona kaishaaa amechakaaaa...analia tu mahaman nabaki kugugumia
..hapana mamy nakaa kando..
alafu kumbe kuachana ni kugumj hvyo jaman..nimegonga kuta jaman..had kukaa kando kwa muda walikataa...ujuha huu..unanilazimisha nirudi kwangu unajua napitia yapi
... !
asante sisyDuuh pole mamiii.
We utaweza kweli jembe langu? Si kwa huruma hiyo uliyonayonilishindwa kukujibu siku ile pm coz ulichoandika ndo nilochokipata..dadek..3wks nw nipo kitaa
..naumiaa naliaa...nimemuona kaishaaa amechakaaaa...analia tu mahaman nabaki kugugumia
..hapana mamy nakaa kando..
alafu kumbe kuachana ni kugumj hvyo jaman..nimegonga kuta jaman..had kukaa kando kwa muda walikataa...ujuha huu..unanilazimisha nirudi kwangu unajua napitia yapi
... !
. Nakuelewa lakini mane wangukugumu..sana sana..nalala nitakuja kwako baadayeEm usiongee sana hapa mane, ukipata kamuda uje tu pm tubonge. Kuachana sio rahisi kama tunavyoandika humu.
😂😂silijui..ila inaonekana kbs dhahiri shahiri Dadii amekuwezea😊😊...!hyo feelings mie naielewa
We utaweza kweli jembe langu? Si kwa huruma hiyo uliyonayo. Nakuelewa lakini mane wangu
Na huwa wanapata faraja??Wanafarijiana eti
😂😂😂😂 jaman hamkosekanik watu km ñyie
Mmmhhh mpaka natishikaMimi nimeamua kukaa kando!kiroho safi ..ingawa nna uchungu sana sana..najaribu kuhimili hii hali lakini nafeli vby sana sana...!silali!
Usijaliiiii😂😂😂huamin ss nn...nan hapendi mapenzi ua kidekezwa..ukiskkia yupo nistue pm fast😂😂😂
Mmmhhh mpaka natishika
Am not sure, sijawahi jaribuNa huwa wanapata faraja??

😂😂Am not sure, sijawahi jaribu![]()
Ya kujitakia? You could opt to be freeHongera sana. Ngoja sie tupambane na jela yetu ya kujitakia
Not that easyYa kujitakia? You could opt to be free