Mada maalum kuhusu nyama ya 'kitimoto'

Mada maalum kuhusu nyama ya 'kitimoto'

Na kuna watu hawajawahi kula nao bado wanakufa tu kwa magonjwa na madhaifu yale yale.

Nadhani walaji wale na wasiokula wasile.mbona kuna mambo mengi yenye madhara magonjwa, sex,sigara,pombe n.k kuna kufa kwa ajli pia.

Mada za kitomoto zimekuwa nyingi sana.
Nadhani sisi tusiokula tuache tu wanaokula wale, hakuna tunachopungukiwa.
Maana kuna watu toka wamezaliwa wanapiga na hawajawahi pata madhara.
 
Suala la kitimoto si suala la kikatiba na halipo kwenye articles za muungano hivyo kulianzishia maada ni kukiuka katiba ya walaji wa nyama yetu pendwa. Hivyo basi kwa kuwa umeleta maada yako nje ya muda kisheria unashauriwa uibadilishe ili utangaze faida za mnyama wako unayempenda na ambaye hana madhara kama ulivyoaminishwa!
 
HII NYAMA KWELI IMELAANIWA MBONA NYAMA ZINGINE SHWARI TU
 
Lakini ni tamu!! Tufanyeje? Ndio maana waislamu kwao ni haramu. Wamelaaniwa kwani hata nabii Issa alipofukuza mapepo yalikimbilia kwa nguruwe.
 
Kwanza nashangaa kwanini mpaka leo hapa jamii forums hakuna jukwaa la kitimoto. Yaani ilitakiwa ipatiwe jukwaa lake kabsaaaa.. Kama ilivyo sijui SIASA,MICHEZO LAWS etc...


Ili watu tupeane experience na location kali za kitimoto na kilimanjaro za moto.
 
Hapo mimi nimechagua kuangalia faida tuu, kuhusu hasara naomba mchague na nyinyi mpendavyo.

Ila tufanye kila kitu kwa kiasi.
 
Eti nyama ya nguruwe ina magnesium yenye protin ya kutosha!!!! hahaha haaaa
 
Back
Top Bottom