Strong
JF-Expert Member
- Jun 9, 2013
- 505
- 434
we jamaa ww bn so unataka chuo kiwape hostel bure imekua shule ya sekondari hiyo kuna tofaut kubwa kati ya bweni na hosteli kwa msaada tu sua jipange hata kama una jina bodi ww nenda umejiwekea akiba usije enda bila kitu ukitegemea huruma ya chuo welcome solomon mahlangu campus welcome main campus