Da'Vinci
JF-Expert Member
- Dec 1, 2016
- 35,731
- 107,003
Hahahaaa mwalimu alianguka assemble alikua anamkimbiza jamaa mmoja mtukutu hatariNiliwahi kuanguka nikiwa shule natoka jikoni nikiwa nimeshikilia sahani ya wali uso ulijaa vumbi lakini cha ajabu wali haukumwagika😅😆.. Sikupata aibu yoyote .