Husninyo
JF-Expert Member
- Oct 24, 2010
- 23,723
- 9,189
Via Mobile hiyo kwani bado uko guest???
hahahaha!
Mwenzio nina aleji na guest. Nikaribia tu miguu inashindwa kutembea.
Via Mobile hiyo kwani bado uko guest???
Hakuna kazi kubwa kama kutongoza. mbona sijaona ukiwapa hongera waliotongoza wakawini.?.. lol.
Husninyo dear
Afrobenzi? ??????
Du jamani ndo kwanza nimejiunga nanyi leo yani najisikia kama nimezaliwa upwa
napenzwa na niliyoyakuta, machungu ni njia mojawapo ya mapito ya dunia siku njema
wote
Hakuna kazi kubwa kama kutongoza. mbona sijaona ukiwapa hongera waliotongoza wakawini.?.. lol.