Kazanazo
JF-Expert Member
- Aug 16, 2023
- 686
- 1,360
Unakuta mzazi, kila atakachofanya mtoto anamuacha akitaka kitu chochote lazima apatiwe mwisho wa siku mtoto anakuwa na tabia mbaya kupitiliza kama vile za kuomba omba watu ovyo, kutukana wakubwa na vitabia vingine vibaya vibaya
Tabia izo mtoto anaenda nazo hadi ukubwani na mzazi hawezi kumzuia tena mtoto huyo kuacha. Kwa wanawake unakuta kanavaa vinguo atakavyo, kanaomba omba wanaume na kanakuwa na majibu ya hovyo kwa mzazi wake na mzazi hana la kufanya
Kwa mwanaume uhuni wa kuvuta bangi na kuvaa milegezo na tabia nyingine mbaya huibuka na mzazi asiwe na la kumuonya kwani kamlea kwa kumdekeza
Story: Kuna siku tulikuwa site tunajenga hapo tunapojenga kuna katoto ka kike wastani wa miaka 15 au 16. Kalikuwa kanakuja pale site kwakuwa tupo karibu na kwao basi ni kujipitisha kakiona hakaitwi kanaingia ndani kanabadili nguo fupi kanakuja tena ivo ivo hadi cku inaisha
Watu wa pale wakamwambia mama mzazi wa yule mtoto kuwa awe makini na vijana lakini huwa anasema kiurahisi tu kuwa akimwambia hataki ko amfanyeje. Basi sisi tulimaliza kazi kwa siku tulizokaa pale wakaja mafundi wengine haikuchukua round dogo akabebeshwa mimba na masela wakasepa.
Tabia izo mtoto anaenda nazo hadi ukubwani na mzazi hawezi kumzuia tena mtoto huyo kuacha. Kwa wanawake unakuta kanavaa vinguo atakavyo, kanaomba omba wanaume na kanakuwa na majibu ya hovyo kwa mzazi wake na mzazi hana la kufanya
Kwa mwanaume uhuni wa kuvuta bangi na kuvaa milegezo na tabia nyingine mbaya huibuka na mzazi asiwe na la kumuonya kwani kamlea kwa kumdekeza
Story: Kuna siku tulikuwa site tunajenga hapo tunapojenga kuna katoto ka kike wastani wa miaka 15 au 16. Kalikuwa kanakuja pale site kwakuwa tupo karibu na kwao basi ni kujipitisha kakiona hakaitwi kanaingia ndani kanabadili nguo fupi kanakuja tena ivo ivo hadi cku inaisha
Watu wa pale wakamwambia mama mzazi wa yule mtoto kuwa awe makini na vijana lakini huwa anasema kiurahisi tu kuwa akimwambia hataki ko amfanyeje. Basi sisi tulimaliza kazi kwa siku tulizokaa pale wakaja mafundi wengine haikuchukua round dogo akabebeshwa mimba na masela wakasepa.