REJESHO HURU
JF-Expert Member
- Mar 6, 2014
- 5,158
- 11,258
Ukisikiliza mashairi ya wimbo huu ulioimbwa miaka 24 iliyopita utasema kauandika jana maana aliyotasema yote ndio yanatokea sasa nawaza kipindi kile prof Jay hakuitwa mhaini na wimbo ulipigwa bila shida je ingekuwa leo hii ingekuwaje
Ebu pitia you tube usikilize
Ebu pitia you tube usikilize