twatwatwa
JF-Expert Member
- Sep 19, 2011
- 2,066
- 421
nasapoti hiyo kitu. tuachane kabisa na watu wa dini fulani tu ndio wachinje....au kama wanataka kuchinja basi wasipate ujira wala wasiondoke na hata kilo moja ya nyama....manake hilo ndo mojawapo ya tatizo....mchinjani hatoki mikono mitupu...hahahaha. ndo maana watu wametoa ndita wanaona wananyang'anywa tonge mdomoni.
kwa hiyo na nyie mlikuwa mnataka shingo