Niwemugizi
JF-Expert Member
- Oct 15, 2012
- 902
- 462
wAKITAKA WASILE BASI
.......tatizo sio kuchinja, ....tatizo unamshukuru nani kabla ya kuchinja !
na ukiua (vua) samaki unamshukuru nani?
Vipi kuhusu kuchuma mchicha au kwa kuwa hauna damu?????
Tatizo liko pale pale kwani hawa wenzetu masharti yao katika kuchinja kwanza lazima awe ameva msuli bila chupi. Mashine haina hivyo vitu.
Samaki na mchicha unachinjwa !?........... Aiseeh nyie watu !
yaani nimecheka sana kwa bandiko lako hili nasikia pia huwa wana beba shingo, maini, na mshiko ndiyo unatumika kujengea nyumba zao za ibaada, na kwenye kuku mpaka utumbo wanachukua sijui kwenye nguruwe huwa wanabeba...
nguruwe huwa mnatamka maneno gani...
Wakristu wameingia kwenye mtego. Kwani Hao Waislaam wachinjaji walikuwa wanapata kiasi gani? Ni ufinyu wa mawazo tu. Wakristu mnachuma dhambcnasapoti hiyo kitu. tuachane kabisa na watu wa dini fulani tu ndio wachinje....au k
ama wanataka kuchinja basi wasipate ujira wala wasiondoke na hata kilo moja ya nyama....manake hilo ndo mojawapo ya tatizo....mchinjani hatoki mikono mitupu...hahahaha. ndo maana watu wametoa ndita wanaona wananyang'anywa tonge mdomoni.
Tatizo liko pale pale kwani hawa wenzetu masharti yao katika kuchinja kwanza lazima awe ameva msuli bila chupi. Mashine haina hivyo vitu.
Nilidhani mashine maalum za ku detect diniKuna uwezekano mkubwa machinjio yote ya serikali kufungwa mashine maalum za kuchinjia wanyama za kuendeshwa na nguvu ya umeme. Hii ni kutokana na kushindwa kupata muafaka wa jambo hili.
Nawasilisha.
Kwa hiyo wagalatia mlilianzisha la kuchinja kwa ajili ya tamaa na choyo cha firigisi !? Chuki yenu iko wazi na hawala hamtaweza ! Uislaam ...utashinda dini zooote ! Hata mkinuna !
Alaa kumbe! Nyama iliyochinjwa kwa mashini ni halal kwa wenzetu? Wajue kuwa mashine hiyo imetengenezwa na makaffir wa ulaya! Au hawajui hilo?Kuna uwezekano mkubwa machinjio yote ya serikali kufungwa mashine maalum za kuchinjia wanyama za kuendeshwa na nguvu ya umeme. Hii ni kutokana na kushindwa kupata muafaka wa jambo hili.
Nawasilisha.
kuabudia dini yako nyama wakati wa kuchinja na nyama hiyo kuliw ana wasioamini dini yako, si fair kabisa. tusijekuwa tunakula nyama ambayo imetambikwa, why hadi direction ya kibra? wanamwelekezea nani pale, wanamtambikia mtu au ni nini?na direction ya huko anakoangalia mnjama.KIBLA@