Mbogo Junior
JF-Expert Member
- Jan 21, 2012
- 250
- 66
Kuna uwezekano mkubwa machinjio yote ya serikali kufungwa mashine maalum za kuchinjia wanyama za kuendeshwa na nguvu ya umeme. Hii ni kutokana na kushindwa kupata muafaka wa jambo hili.
Nawasilisha.
Nawasilisha.