Machinga wapinga agizo la RC Dar kuzuia uuzwaji wa Filamu za nje ya nchi, Waandamana

Njooni Kiluvya,huku bado zinauzwa!Poleni wana_Dar es salaam
 
Huu ni mpango ulikuwepo muda mrefu kabla ya makonda yeye kasimamia tu. Kimsingi hawajakatazwa bali wametakiwa wafuate taratibu zinazotakiwa ambazo ni kuwa ni kibali cha kampuni iliyotoa sinema husika na kulipia kodi nakala zote ambazo zitakuwa kwenye makubaliano. Kinachofanywa na wafanyabiashara wa movie za nje ni piracy kwa sab piracy sio lazima ziwe za ndani kuruhusu kuuzwa piracy nchini ni kukiuka mikataba ya kimataifa kulinda kazi za wasanii ambayo tanzania imeingia. Wameshindwa kutimiza mashart husika ndio wamefunga maduka kabla ya siku waliyopewa kama mgomo. Kuwapo kwa cd za nje za bei rahisi kunachangia sana kushuka kwa movie za nyumbani japo kuna changamoto nyingi ndani ya tasnia. Dunia nzima piracy hairuhusiwi tofauti ni utekelezaji tu. Kama unakumbuka defao alizimia alivyokuja tz miaka ya 90 na kukuta mwimbo wake mpya unauzwa kama njugu wakati hakuna kampuni yoyote nchini iliyoingia mkataba wa kusambaza mwimbo huo.
Hakuna hatua yoyote ya kimaendeleo ambayo haitaathiri upande mwingine tuvumilie na tusonge mbele kwa mfano ujenzi wa train ya umeme utaathiri mabus na malori je usitishwe?

Unachojaribu kukisema ni sawa na kudhibiti importers wa tambi/Macaroni ili kukuza soko la sembe kwenye soko la ndani.

Nadhani consumption ya filamu, mziki na burudani kama hizo ina segmentation kubwa inayoakisi interests na personality. Inawezekana kukawepo na overlap ya audience lakini napenda kuamini kwamba kama mtu anapenda bongo muvi na filamu za kihindi kwa pamoja sidhani kama udhibiti wa bei kwenye upande mmoja unaathiri kwa kiasi kikubwa upande wa pili.

Unless uniambie Makonda ana mkakati wa kulikausha kabisa soko lisalie na bongo muvi peke yake kiasi kwamba watu watalazimika kuzima screen zao kama hawatanunua sinema za kina Steve Nyerere.

Kumbuka pia piracy ni global issue, ukiwabana walaji kwenye DVD wataenda kwenye youtube na torrent sites.
 
Kwanza hii issue haipo chini ya mamlaka yake sisi tumeingia kwenye free trade hili linatakiwa liwe addressed na mawaziri husika to mean waziri wa viwanda na biashara pamoja na waziri wa habari, utamaduni na. ... sio kazi ya mkuu wa mkoa
Analazimisha kuingia kwenye headline!
 
Mini linaangalia kushoto na kulia kabla ya kuvuka barabara, mzimu unamkimbiza MTU unachoka unakodi bajaji, MTU anakumbuka miaka kumi nyuma wakati redio yake inaimba weka muziki ya darasa. Hii ndio bongo muvi banaaaaaa!
 
Kipindi hiki cha soko huria hakuna haja ya kuzuia bidhaa zozote za nje eti kwa ajili ya kuzipabidhaa za ndani soko la uhakika wakati kiushindani bidhaa inajiuza kulingana na ubora wake na bidhaa zaifu inajifuta yenyewe kutokana na udhaifu wake.
 
Aliyetoa tamko la aina hiyo ni lazima atakua shoga tu. Yaani analazimisha watu waachana na movies na muzics za kimarekani eti wageukie vya kibongo??? Sijui ni nani huyo, lakini ni lazima atakua bwabwa mzoefu tu, maana ndiyo pekee wenye uzoefu wa kutoa maamuzi ya hovyo hovyo kama hayo!
 
Nadhani basi hata runinga zetu ziache kuonyesha vipindi vyote vya nje.
 
Watu wanasahau mapema sana..hilo jitu tulishawambia sisi wanafunzi tuliyesoma nae lilikuwa hamna kitu dalasana zaidi ya kuwa kondakta mzuri.so hayo mambo ya uongozi nikama kumuonea tuu ndo maana haishi vituko huko dar
 
  • Thanks
Reactions: 911
Mara mkaa marufuku kusafirishwa toka wilaya hadi nyingine, mara cd za nje marufuku kesho tutasikia marfuku kuagiza simu kutoka nje!
 
hivi huyu bashite ana akili kweli, yaani anatupangia hadi movie za kuangalia jamani.
Sisi huku tunduma movie za nje zipo kibao, tutavuka border kununua, nyie wa Dar mnalo.
 
Bongo muvi jini anakodi bajaji kumtokea Benny, jini kuvuka road Linaangalia kulia na kushoto aseee.... Bastola haijalia Kishoka amedindoka chini aseee me naufyata..
 
Wanadaslam kazi mnayo. Lazima mnyooke. (Katika sauti ya kichaa kakabidhiwa rungu by Nay Wa Mitego)
 
Back
Top Bottom