Machinga Ubungo wapigwa mabomu..............

Jan 16, 2012
25
15
Kuanzia jana ilikuwa ni kilio kwa wafanyabiashara wadogowadogo na mamachinga wanaofanya biashara zao maeneo ya Ubungo(Dar) karibu na mitambo ya kuzalisha umemena kandokando ya barabara pale askari Polisi walipowafukuza kwa mabomu ya machozi(na kuchukua bidhaa zao).Serikali inadai kuwa wasifanyie biashara karibu na barabara na pia mitambo ya Tanesco kwani ni hatari.Lakini tujiulize,hawa WAMEJIAJIRI ili kuondo utegemezi na kujipatia kipato ili kupunguza umaskini(ahadi ya CCM 2005) ila serikali inakinzana na juhudi zao.Sasa je serikali imeandaa mikakati gani ya kuwasaidia??mi najua hakuna nchi yoyote kubwa iliyoendelea bila kuwa na sekta isiyo rasmi(informal sector) katika uchumi.Au hizi ni hasira za CCM kuangukia pua kule Arumeru na maeneo mengine ya uchaguzi?.........tatafakali!!!!:yell:
 
Kuanzia jana ilikuwa ni kilio kwa wafanyabiashara wadogowadogo na mamachinga wanaofanya biashara zao maeneo ya Ubungo(Dar) karibu na mitambo ya kuzalisha umemena kandokando ya barabara pale askari Polisi walipowafukuza kwa mabomu ya machozi(na kuchukua bidhaa zao).Serikali inadai kuwa wasifanyie biashara karibu na barabara na pia mitambo ya Tanesco kwani ni hatari.Lakini tujiulize,hawa WAMEJIAJIRI ili kuondo utegemezi na kujipatia kipato ili kupunguza umaskini(ahadi ya CCM 2005) ila serikali inakinzana na juhudi zao.Sasa je serikali imeandaa mikakati gani ya kuwasaidia??mi najua hakuna nchi yoyote kubwa iliyoendelea bila kuwa na sekta isiyo rasmi(informal sector) katika uchumi.Au hizi ni hasira za CCM kuangukia pua kule Arumeru na maeneo mengine ya uchaguzi?.........tatafakali!!!!:yell:

Mkuu kuna mambo ya kisiasa lakini sio hili
 
Sheria za nchi ni lazima ziheshimiwe, naona serikali sasa imeota meno na kuanza kubweka.
 
Kuanzia jana ilikuwa ni kilio kwa wafanyabiashara wadogowadogo na mamachinga wanaofanya biashara zao maeneo ya Ubungo(Dar) karibu na mitambo ya kuzalisha umemena kandokando ya barabara pale askari Polisi walipowafukuza kwa mabomu ya machozi(na kuchukua bidhaa zao).Serikali inadai kuwa wasifanyie biashara karibu na barabara na pia mitambo ya Tanesco kwani ni hatari.Lakini tujiulize,hawa WAMEJIAJIRI ili kuondo utegemezi na kujipatia kipato ili kupunguza umaskini(ahadi ya CCM 2005) ila serikali inakinzana na juhudi zao.Sasa je serikali imeandaa mikakati gani ya kuwasaidia??mi najua hakuna nchi yoyote kubwa iliyoendelea bila kuwa na sekta isiyo rasmi(informal sector) katika uchumi.Au hizi ni hasira za CCM kuangukia pua kule Arumeru na maeneo mengine ya uchaguzi?.........tatafakali!!!!:yell:

Wakipata tatizo hapo walipo, utakua wa kwanza kuilamu serikali kwamba haikuchukua hatua.Pamoja na kutafuta riziki, lakini lazima riziki itafutwe kwa njia halali na utaratibu uliowekwa. Sasa kila mtu akijiamlia kufanya anavyojisikia eti kwa kisingizio cha kujitafutia riziki, Nchi itakalika kweli. Fikiria Chukua hatua.
 
Wakipata tatizo hapo walipo, utakua wa kwanza kuilamu serikali kwamba haikuchukua hatua.Pamoja na kutafuta riziki, lakini lazima riziki itafutwe kwa njia halali na utaratibu uliowekwa. Sasa kila mtu akijiamlia kufanya anavyojisikia eti kwa kisingizio cha kujitafutia riziki, Nchi itakalika kweli. Fikiria Chukua hatua.

siku zote sherikali ilikuwa wapi kuwaondoa machinga ubungo?wamewaandalia sehemu za kwenda kuendeshea biashara zao?Serikali haiono kuongezea uporaji,ubakaji na unyanganyi kwa kutumia Bisibisi,Mapanga,Nondo toka kwa machinga Mitaani kwa kuwaondoa bila ya kuweka utaratibu maalum?.
 
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom