We jamaa si ni mkereketwa wa kijani,leo imekuwaje?
Umewahi gombea hata umeya kwa tiketi ya kijani, na mara ya mwisho ulikuwa unampigia debe mgombea udiwani wa kata ya Chipogolo kupitia CCM.
Leo kwa wamachinga kimekusibu nini?
Wasaidie tu kupaka rangi ya kijani,ila kaa ukijua kuwa upinzani ni ideas na ambazo zipo kichwani mwa wananchi hata wakilazimishwa kuwa na muenekano wa kijani ila nafsi zao ni upinzani tu.