kesho kutwa
JF-Expert Member
- Dec 7, 2016
- 1,628
- 1,786
Nilikua Dodoma kwa mara ya kwanza siku 4 zilizopita. Kuna siku niliingia machinga complex ambayo iko barabarani tu. Kwa mimi naweza kusema ni kama karume pale Dsm. Aisee hapa Iringa the same clothes nimeuziwa dodoma sh. 5000 tu. Wakati huku zinauzwa 17000 nikawaza sana hapa Iringa why mambo expensive sana hivi?
Hongereni sana wana machinga kwa kunipa nguo kwa bei hizi. Swali ni kua kwanini bei kule ni cheap?
Hongereni sana wana machinga kwa kunipa nguo kwa bei hizi. Swali ni kua kwanini bei kule ni cheap?