Machine ya kufulia inauzwa bei gani?

Machine ya kufulia inauzwa bei gani?

Nitahitaji kufanya mabadiliko ktk mfumo wa umeme nyumbani kwangu kwa kufunga labda high voltage equipments booster au washing machine ni kama fridge tu ktk matumizi ya umeme.? Socket za kawaida tu.
Hihitaji kufanya mabadiliko yeyote unless kama ungekuwa unatumia jiko la umeme. Vyombo hivi vingi vya umeme vinatumia waya za umeme za size ya 2.5mm sq ihali jiko la umeme linatumia waya wa 4.0-6.0 mm sq...
 
Vijana wengi Wana ushamba sio kuwa hawana Fedha.

Unamiliki IPhone ya 1.8M lakini huna washing machine ya laki tano. Weekend unatumia masaa mawili kufua wakati ungekuwa na Jukumu la kuweka Nguo kwny Machine tu na ku set Muda huku unaendelea na shughuli zako zingine!
 
Vijana wengi Wana ushamba sio kuwa hawana Fedha.

Unamiliki IPhone ya 1.8M lakini huna washing machine ya laki tano. Weekend unatumia masaa mawili kufua wakati ungekuwa na Jukumu la kuweka Nguo kwny Machine tu na ku set Muda huku unaendelea na shughuli zako zingine!
Kweli Mkuu. Sema tarabu tutazoea
 
Gharamia mpya tu ni between Tsh 500 K to 1 Million (Town or Mlimani City). Ikiwa na automatic wash, rinse & dry ni poa zaidi. Kufua kunaboa sana basi tu, hata kama una dem/mke ni wanachoka pia (Be Human). Its easier for ur chick to clean ur stuff wit a washing machine.

Note:

Cheap z Expensive.
Gharamia kitu, U enjoy long term.
nimependa hiyo....."be human.""
 
Hapo nimekupata. Kweli kama ulivosema kg 10-15 ndo nzuri maana changamoto ya kufua mashuka ni shida.
Sema Vp tofauti ya manual na automatic ni ipi?
Na kwenye maji unaunganisha bomba ama unamimina na ndoo?
Za manual mara nyingi ni zile zinakama tub mbili ya kufulia (Huwa inaenda mwendo wa to and fro motion yan foward and backwards) na tub ya pembeni ni ya kukamulia nguo maji.....

Hizi mara nyingi ni nzuri sana kwa wale ambao hawana uhakika sana wa maji (mabomba yanayotoa maji 24/7). Hii mashine ukitaka kufua kwenye tub ya kufulia nguo ww unajaza nguo zako tu humo appropriately...then una feed maji manually hata na ndoo (inasehem ya kuunga bomba pia)....then ukishaweka maji yako mpaka level flan unatia na sabuni ya unga (Nunua kiroba cha sabuni ya unga weka ndani).

Then unawasha after setting the time (Usually 15 minutes then unakuja washa tena 15 minutes zingine).....ukimaliza una drain away the dirty waters, una rinse humo humo (same process) then zile nguo unahamishia tub ya pili zinakamuliwa maji then unaanika.

Hizi automatic ww unaweka nguo na sabuni kwenye box yake....bomba za maji ziko directly connected, zinakuwa adjusted automatically....wewe unaset mambo unaondoka unaenda hata kazini ukirudi kila kitu tayari, wewe unafanya kuzitoa unaweka kwa dryer au unaanika.
 
nimependa hiyo....."be human.""
[emoji4][emoji4] aaargh mi sipendi my chick awe ana lalama man. Si kwamba ni mvivu au hanipendi hapana, mi naelewa how boring nd tiring it is kufua nguo na mikono. Ukicheck hata yeye ni msomi ana mambo yake weekends.

Wit a machine anafua zake na zangu nd ananiandalia za week nzima....thats very enough for me...(Hzo kucha zake anavyozipenda alaf nimwambie atumie mikono tena. Huntakii mema. [emoji23][emoji23])
 
Za manual mara nyingi ni zile zinakama tub mbili ya kufulia (Huwa inaenda mwendo wa to and fro motion yan foward and backwards) na tub ya pembeni ni ya kukamulia nguo maji.....

Hizi mara nyingi ni nzuri sana kwa wale ambao hawana uhakika sana wa maji (mabomba yanayotoa maji 24/7). Hii mashine ukitaka kufua kwenye tub ya kufulia nguo ww unajaza nguo zako tu humo appropriately...then una feed maji manually hata na ndoo (inasehem ya kuunga bomba pia)....then ukishaweka maji yako mpaka level flan unatia na sabuni ya unga (Nunua kiroba cha sabuni ya unga weka ndani).

Then unawasha after setting the time (Usually 15 minutes then unakuja washa tena 15 minutes zingine).....ukimaliza una drain away the dirty waters, una rinse humo humo (same process) then zile nguo unahamishia tub ya pili zinakamuliwa maji then unaanika.

Hizi automatic ww unaweka nguo na sabuni kwenye box yake....bomba za maji ziko directly connected, zinakuwa adjusted automatically....wewe unaset mambo unaondoka unaenda hata kazini ukirudi kila kitu tayari, wewe unafanya kuzitoa unaweka kwa dryer au unaanika.
Asante kwa maelezo yako mazuri Mkuu.
Nimependa iyo ya Automatic...ila sijaelewa kama hauko seheme yenye mabomba ya maji ya kuconnect directly inakuaje?
unaweza kutumia iyo automatic kwa kujaza maji ya ndoo?
Maana kama umepanga room ni ngumu kupata bomba la direct..zaid utakua unatumia maji ya kuchota na ndoo
 
Asante kwa maelezo yako mazuri Mkuu.
Nimependa iyo ya Automatic...ila sijaelewa kama hauko seheme yenye mabomba ya maji ya kuconnect directly inakuaje?
unaweza kutumia iyo automatic kwa kujaza maji ya ndoo?
Maana kama umepanga room ni ngumu kupata bomba la direct..zaid utakua unatumia maji ya kuchota na ndoo
Kama umepanga room na hamna uhakika wa bomba lako personally linalotoa maji 24/7 hyo automatic haikufai achano nayo.

Nunua hyo ya manual (yenye tub mbili) ndio itakufaa zaidi (And Yes !! Zipo za 10 - 15 Kg) unaweza feed maji na ndoo. Kama room yako self contained ina bafu kubwa kubwa unaweza iweka bathroom kwako ukidrain maji ya mapovu yanaenda humo humo njia moja na mengine au unaonganisha pipe ya kuya direct kwenye chamber straight.
 
Kama umepanga room na hamna uhakika wa bomba lako personally linalotoa maji 24/7 hyo automatic haikufai achano nayo.

Nunua hyo ya manual (yenye tub mbili) ndio itakufaa zaidi (And Yes !! Zipo za 10 - 15 Kg) unaweza feed maji na ndoo. Kama room yako self contained ina bafu kubwa kubwa unaweza iweka bathroom kwako ukidrain maji ya mapovu yanaenda humo humo njia moja na mengine au unaonganisha pipe ya kuya direct kwenye chamber straight.
Poa Mkuu.
Manual ya Kg 15 wastani ni bei gani? Na ya kg 10 je?
Ili nikienda niwe na bei nayojua wasije kunishikisha bei kubwa.
 
Huu ni uwanja wangu mzee iko hivi.

Kwa maisha yetu halisi ya kitanzania pamoja na hali ya hewa, Semi Auto ni bora kuliko Full Auto kwa sababu zifuatazo.

Mashine ni kwa sababu ya kukurahisishia kazi ngumu kuwa nyepesi, sasa semi auto Wash Timer yake ni nzuri mf unaweza set dk 4 au 2 au 3 kufua, na huu ni muda sahihi sana katika kufua nguo kama jeans na kadeti. Ila kwa mashati sana ni dk 2 au 3 inatosha sana na hii inategemea na sabuni unayoitumia. Pia kuna wale wanaovaa nguo mf shati mathalani mpaka inachora mstari wa uchafu shingoni. Ukifulia Full auto huwez ziangalia mpaka imalize kuspin uzitoe. Ila kwa Semi auto unaweza ziangalia vizur na ukakadiria maji vizur, ila Full auto inaingiza maji inayohisi yenyewe yanatosha then inablock maji.

Brand za kununua zipo nyingi tu kutegemea na pesa yako. Chache tu kuna Venus, Ariston, Samsung, LG, ZEC na kuna brand moja nimeisahau kidogo ila inauzwa na Lg pia.

Swala la umeme kwa mashine inayofua na kukamua tu umeme wake ni mchache mnooo tofauti na inayokausha

Kwa mfano mimi nilinunua mwaka jana duka la Sony Mliman city Venus ya kilo 7 sh laki 3.5, inafua kilo 7 inakamua kilo 5. Ninaifanyia biashara. Sijawah kuifungua itengenezwe. Na inapiga mzigo vizur sana. Ila nitaongeza ya uzito mkubwa kidogo sababu kuna nguo nyingine sifui sababu ya uwezo wake.
 
Vitu vya electronics ndugu usidanganywe kununua nje na eneo ulilopo, kinaweza kusumbua, mfano umenunua Z'bar, utapanda boti ukirudishe? Ni bora ukagharamika huku ukipata security ya maana.

Kuna mtu aliuliza heavy duty inafua nin. Hii inafua nguo zote nzito hasa mablanket, douvets na jeans kubwa nzito kuliko.
 
Automatic

1485799269648.jpg
 
Samsung ni brand nzuri....simaanishi zingine mbaya. Ila kitu kipya ukchukua kwa Authorised Distributor ni vizuri na ma warranty & gurantee utapewa. Well na mfuko wako pia...kama utamudu chukua hyo ya Samsung.
Mkuu hamna brand ya tecno?
 
Nunua brand new 500K - 700K. Haitakusumbua ila uwe na fundi wa kuifunga. Usikubali kufungiwa na mtu tu ati kwa kuwa ni fundi umeme. Unaweza bomoa nyumba yako. Nakueleza thru experience.
 
Back
Top Bottom