Clueless14
JF-Expert Member
- Aug 27, 2014
- 3,117
- 4,781
Go make ur mom happy..not me
You tried! Keep it up ila acha maswali ya kijinga basi unatia aibu wanaume wenzio
Go make ur mom happy..not me
Mle unafua mpaka pillowsOk mkuu nilijua mashuka ya kawaida
Haya ya ukiazi na kutukanana yana faida gani wanduguWe kiazi kweli.
What might be heavy duty to u inaweza kua sio heavy kwa mwingine...
Ndo mana nikasema awe specific.....kusema just heavy duty ni too general
Kwapa limekuwaje nduguKuna mdau kauliza kuhusu kikwapa hapo juu. Ningependa kujua pia
Ye kno the drill.Bongo mvua ikiwa inanyesha hata ukianika nguo barazani tu zinakauka.
Kuna watu huwa wanatoa jasho mpaka ukiangalia shati eneo la kwapa inatengeneza rangi ya caki hata kama shat ni jeupe. Sasa aliuliza hizo mashine zinaweza safisha huo uchafu!?Kwapa limekuwaje ndugu
Brother heavy duty ni kwa ma hotel makubwa, appartments et al. Dude la kufua mashuka / mapazia 50 sijui 100 kwa wakati we la nini ?? Huwez tumia washing machine heavy duty nyumbani thats way too big (Nazijua Sana). Hzo nlizokwambia hapo awali zinakufaa kwa matumizi ya nyumbani.We kiazi kweli.
What might be heavy duty to u inaweza kua sio heavy kwa mwingine...
Ndo mana nikasema awe specific.....kusema just heavy duty ni too general
Una ID ngapi mkuu!Nichek online unitumie no ya simu...
Kama huyo mtu ana desturi na silika ya usafi wa kutorudia nguo mara 2 au 3 kwa nguo nyeupe (Ni uchafu na Kinyaa Sana) + kutokua mchumi na sabuni nzuri ya unga. Huo ujinga hatokaa auone kwenye nguo zake.Kuna watu huwa wanatoa jasho mpaka ukiangalia shati eneo la kwapa inatengeneza rangi ya caki hata kama shat ni jeupe. Sasa aliuliza hizo mashine zinaweza safisha huo uchafu!?
wew jammaa nina wasiwasi na weweMi mshamba kidogo...hizi mashine Zinasugua hadi vikwapa?
Ikiwa halijawa doa, inatoka. Ila ikishakomaa inabid utumie deterges za kuondoa madoaKuna watu huwa wanatoa jasho mpaka ukiangalia shati eneo la kwapa inatengeneza rangi ya caki hata kama shat ni jeupe. Sasa aliuliza hizo mashine zinaweza safisha huo uchafu!?
Kwa nini mkuu?Una ID ngapi mkuu!
Hiyo detergent itachanganywa kwenye machine au itabidi ufanye kwa mkono?Ikiwa halijawa doa, inatoka. Ila ikishakomaa inabid utumie deterges za kuondoa madoa
Take it easy, mkuu!Kwa nini mkuu?
Umeona imebadilika? Nimebadilisha user name but details zingine ni zile zile mkuu...Take it easy, mkuu!
Inategemea na aina ya mashine broHiyo detergent itachanganywa kwenye machine au itabidi ufanye kwa mkono?
Kwann mkuuwew jammaa nina wasiwasi na wewe