Akae Kimya inatuhusu nini sisi? Kwani NCCR hakuna Wahafidhina?
anadai et alishiriki kujenga chadema kwa kutumia pesa zake lkn wahafidhina walimfanya ahamie nccr
Zito quote "ZZK kumbuka cdm inapitia kipindi kigumu sana cha kukua kwa demokrasia,haya ni mapambano kati ya wapenda demokrasia na Wahafidhina
Mimi sitoki chadema,nitakua wa mwisho kutoka chadema,Nataka hao wanaotaka kunitoa wanitoe"
Wakuu, katka hali isiyo ya kawaida moses machali akiongea ktka kipindi cha hotmix kinachorushwa na eatv jion hii,anasema yeye aliamua kuondaka chadema kwakua siasa za wahafidhina zilimchosha.
Maombi Ya Aliyekuwa Askof Msaidizi wa Jimbo kuu Methodius Kilaini 'yalitunusuru' kupata Viongozi Wahafidhina 2010, Tunatarajia huko huko alipotupwa Bukoba ataendeleza Maombi yake 2015.
Akae Kimya inatuhusu nini sisi? Kwani NCCR hakuna Wahafidhina?
kama alitumia hela yake kwa ajili ya chama ni mpuvavu na ndio maana hata jimbokeni kwake anatumia hela yake kwa kufanyia shughuli za maendeleo ambao ni upumbavu ulizidi kiwango kwa wabunge wa kitanzania. How comes mbunge unakuwa mtu wa kutoa kila kitu kama saccos? ni upumbavu maana kazi za mbunge sio kuwa ww ndo source ya hela.
Zito quote "ZZK kumbuka cdm inapitia kipindi kigumu sana cha kukua kwa demokrasia,haya ni mapambano kati ya wapenda demokrasia na Wahafidhina
Mimi sitoki chadema,nitakua wa mwisho kutoka chadema,Nataka hao wanaotaka kunitoa wanitoe"
Pesa ipi ya boom? Watu wengine bana wanatia aibu sana, alizaliwa chuo st.Augustine Mwanza 2010 ........anadai et alishiriki kujenga chadema kwa kutumia pesa zake lkn wahafidhina walimfanya ahamie nccr
Huyu mbunge alikuwa na hela za kutoa wapi wakati alikuwa ni masikini wa kutupwa na baba alikuwa mlevi balaa MEDICAL ATTENDANT wa kuamka na viroba walikuwa wamepanga kajumba kabovu nyuma ya kasulu sekondarikama alitumia hela yake kwa ajili ya chama ni mpuvavu na ndio maana hata jimbokeni kwake anatumia hela yake kwa kufanyia shughuli za maendeleo ambao ni upumbavu ulizidi kiwango kwa wabunge wa kitanzania. How comes mbunge unakuwa mtu wa kutoa kila kitu kama saccos? ni upumbavu maana kazi za mbunge sio kuwa ww ndo source ya hela.
Jamaa kwa bangi si ajabu ameingia ktk kipingi bangi zimeshamharibuPesa ipi ya boom? Watu wengine bana wanatia aibu sana, alizaliwa chuo st.Augustine Mwanza 2010 ........
Zito quote "ZZK kumbuka cdm inapitia kipindi kigumu sana cha kukua kwa demokrasia,haya ni mapambano kati ya wapenda demokrasia na Wahafidhina
Mimi sitoki chadema,nitakua wa mwisho kutoka chadema,Nataka hao wanaotaka kunitoa wanitoe"