Chadema Wameanza kulaumu Wanaharakati na Asasi/Mashirika ya kutetea haki za binadamu Wamewatelekeza

Robert S Gulenga

JF-Expert Member
Jan 3, 2013
2,160
1,492
Katika hali isiyo kuwa ya kawaida Chama cha Demokrasia na Maendeleo kimetoa shutuma kali kwa Wanaharakati na Asasi/Mashirika ya kutetea haki za binadamu kuwa yamewatelekeza katika harakati zao.

Kwa muda tofauti, Viongozi wa Chadema wamekuwa wakilalamika kuwa Asasi na Mashirika ya kutetea haki za binadamu zimewatelekeza katika mapambano hayo, Catherine Ruge amesema mashirika haya yamekuwa yakipokea fedha za bure bila kutaja ni akina nani wanawapa.

Ushauri wa Bure kwa Chadema na Mwenyekiti Freeman Mbowe. Watanzania sasa wanataka Maendeleo, wanataka kusikia mkiwaunganisha Watanzania katika kuhakikisha Tanzania inasonga mbele, Watanzania na Wadau mbali mbali watawaunga mkono kama tu Mtakuwa wa kweli kusaidiana na Serikali kuhakikisha mnawaletea Watanzania Maendeleo

Mh. Rais anapambana kuhakikisha Watanzania wanapata huduma bora za Elimu, Afya, Maji, Serikali hailali kuhakikisha miradi yote inakamilika, Watanzania wako pamoja na Mh. Rais katika kuhakikisha tunafikia malengo tuliyojiwekea na si kila siku kufanya siasa za kufitinisha Wananachi na Serikali yao.

Mwezi wa Kumi na Mbili tukiwa tunaenda zetu Moshi tutapita kwenye daraja jipya la pale Wami litakuwa limekamilika kwa asilimia mia moja.


Kazi Iendelee

Mwenyezi Mungu ibariki Tanzania

Mwenyezi Mungu mbariki Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan.
 
Chadema wataendelea kupuuzwa na watanzania kila siku na kila mtu mwenye Akili Timamu kwa sababu hawana Sera na ajenda zenye kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na sauti,
 
Kabisa Nakuunga mkono maana kwa Sasa hakipo kwenye mioyo ya watanzania, Ndio maana wamebaki wanarukia vimatukio vinavyopita Kama ukungu maana hawana ajenda Wala Sera za kuwashawishi watanzania wawaunge mkono Kama ambavyo CCM ilivyo fanikiwa kuteka mioyo ya watanzania kutokana na utumishi wake uliotukuka na unaogusa maisha yao
Sio muda mrefu kitasahaulika kabisa kwenye Siasa za Tanzania
 
Kabisa Nakuunga mkono maana kwa Sasa hakipo kwenye mioyo ya watanzania, Ndio maana wamebaki wanarukia vimatukio vinavyopita Kama ukungu maana hawana ajenda Wala Sera za kuwashawishi watanzania wawaunge mkono Kama ambavyo CCM ilivyo fanikiwa kuteka mioyo ya watanzania kutokana na utumishi wake uliotukuka na unaogusa maisha yao
Bila matukio hawana agenda tena Lucas mwashambwa
 
Mtoa hoja waambie ndugu zako wa Chama dola, kama wanaona CDM imekufa sasa wasiwasi wao wa nini?unafiki ni tabia mbaya mno, wewe mtoa hoja kama CDM imekufa nini kimekusukuma Kuja na hoja kama hii?,level playing field then ulete uzi kama huu, vyombo vya ulinzi n usalama vifanye kazi za viapo vyao, viache to play politics then utaona moto wa CDM, Huyu aliyewageuza watanzania kuwa mazuzu alaaniwe milele
 
Mtoa hoja waambie ndugu zako wa Chama dola, kama wanaona CDM imekufa sasa wasiwasi wao wa nini?unafiki ni tabia mbaya mno, wewe mtoa hoja kama CDM imekufa nini kimekusukuma Kuja na hoja kama hii?,level playing field then ulete uzi kama huu, vyombo vya ulinzi n usalama vifanye kazi za viapo vyao, viache to play politics then utaona moto wa CDM, Huyu aliyewageuza watanzania kuwa mazuzu alaaniwe milele
Hakuna mtu aliyegeuzwa zuzu mkuu, kimsingi Chadema hakuna kitu sasa mnaweza ongea watu wakawaelewa, Watanzania wanataka waone Hospital zenye wahudumu na Vifaa Tiba vipo, Shule bora, Barabara, huduma za maji na vyote hivyo wanaviona vinatekelezwa
 
Katika hali isiyo kuwa ya kawaida Chama cha Demokrasia na Maendeleo kimetoa shutuma kali kwa Wanaharakati na Asasi/Mashirika ya kutetea haki za binadamu kuwa yamewatelekeza katika harakati zao.
Mwongo wewe..!

Juzi CHADEMA walikuwa na Press Conference. Hakukusikika kauli ya chama kama hii ya "wametutelekeza".

Habari ya taasisi za kutetea haki za binadamu kama TAMWA, TLS, TAWLA nk kuwa kimya katika nyakati hizi za matukio ya uvunjifu wa haki za binadamu unaofanywa na vyombo vya serikali hususani POLISI ni maswali ya kila mtu wala siyo CHADEMA tu...

Wewe kama uko obsessed na CHADEMA na kutaka kuwatengenezea taswira mbaya, hiyo ni shida yako binafsi..

Lakini kwa kifupi, WEWE NI MWONGO..!!
Kwa muda tofauti, Viongozi wa Chadema wamekuwa wakilalamika kuwa Asasi na Mashirika ya kutetea haki za binadamu zimewatelekeza katika mapambano hayo, Catherine Ruge amesema mashirika haya yamekuwa yakipokea fedha za bure bila kutaja ni akina nani wanawapa.
Kama nilivyosema hapo juu, YES...

Haya mashirika hayafanyi kazi zao, yamenyamaza kimya hata pale haki za binadamu zinapovunjwa waziwazi kama tukio la juzi kule Serengeti la polisi kuua watu wasio na hatia...
Ushauri wa Bure kwa Chadema na Mwenyekiti Freeman Mbowe. Watanzania sasa wanataka Maendeleo..

Mpumbavu na mjinga wewe...!

Maendeleo katikati ya serikali inayomwaga damu za watu ni upumbavu na ni ujinga na ni laana kwa nchi...!!
wanataka kusikia mkiwaunganisha Watanzania katika kuhakikisha Tanzania inasonga mbele, Watanzania na Wadau mbali mbali watawaunga mkono kama tu Mtakuwa wa kweli kusaidiana na Serikali kuhakikisha mnawaletea Watanzania Maendeleo

Mh. Rais anapambana kuhakikisha Watanzania wanapata huduma bora za Elimu, Afya, Maji, Serikali hailali kuhakikisha miradi yote inakamilika, Watanzania wako pamoja na Mh. Rais katika kuhakikisha tunafikia malengo tuliyojiwekea na si kila siku kufanya siasa za kufitinisha Wananachi na Serikali yao.

Mwezi wa Kumi na Mbili tukiwa tunaenda zetu Moshi tutapita kwenye daraja jipya la pale Wami litakuwa limekamilika kwa asilimia mia moja.


Kazi Iendelee..
Kazi gani iendelee..?

Ya kuua watu??
Mwenyezi Mungu ibariki Tanzania

Mwenyezi Mungu mbariki Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan..
Damu za watu zisizo na hatia zinawalilia toka ardhini. Zinapeleka sauti kwa Mungu Yehova kudai HAKI na KISASI...

Mtakufa midomo wazi kwa propaganda zenu za kijinga na kipumbavu.....shauri lenu..
 
Kabisa Nakuunga mkono maana kwa Sasa hakipo kwenye mioyo ya watanzania, Ndio maana wamebaki wanarukia vimatukio vinavyopita Kama ukungu maana hawana ajenda Wala Sera za kuwashawishi watanzania wawaunge mkono Kama ambavyo CCM ilivyo fanikiwa kuteka mioyo ya watanzania kutokana na utumishi wake uliotukuka na unaogusa maisha yao
CCM ni genge la kigaidi linalotumia mabavu ya vyombo vya dola kuendelea kubaki madarakani kimabavu. CCM haina tofauti na bokoharam
 
Hakiwezi endelea hata siku moja kwa mawazo haya ya kupinga pinga bila sababu Lukumbisi
There are no proper words to write against you Mr Robert S Gulenga than saying, You are very stupid and ignorant bro....

Mungu akusamehe bure tu kwa kuwa hujui (yaani ni mjinga) na ni mpumbavu (yaani huna ufahamu wala maarifa) yanayoweza kukusaidia kufanya right judgement ya yale uonayo na uyasikiayo...

Naweza kukuuliza swali hili na kama una akili kweli, unaweza kutoa jibu sahihi...

Kwamba, hivi ni nani mjinga kati ya wewe na wenzako huko uliko mnaounga mkono serikali kuua/kumwaga damu za watu, ndugu zenu kwa jina la "maendeleo" au kwa jina la "kazi iendelee" na wale "wanaopinga" mauaji na maovu haya dhidi ya nchi hii nzuri ya Tanganyika..?

Actually, wewe Mr Robert S Gulenga na wenzako ndio wapumbavu, wajinga na wala siyo CHADEMA, na mmebeba roho ya shetani 😈😈😈 ya uuaji ndani yenu na ndiyo maana hamuoni shida ku - support tabia hii isiyo ya ki - MUNGU...

Serikali yoyote imwagayo damu ya raia wake kwa makusudi au kwa sababu yoyote ile haiwezi kudumu wala kusimama...

Serikali ya namna hiyo inakuwa inatembea katika adhabu kali ya Mungu Yehova. Wewe huwezi jua haya kwa sababu u mjinga na hutaki kutoka ktk ujinga huo kiasi cha kuwa umeamua kuajiriwa na watenda uovu huu ili uwasaidie kuutenda...!

Zaidi sana, damu za watu zisizo na hatia zinapomwagwa ardhini na viongozi wa serikali ya nchi/taifa, huleta laana ya nchi na taifa hilo na daima zitakuwa zinalia mbele ya Mungu Yehova kudai HAKI na KISASI..

Narudia tena, huwezi kuelewa haya lakini utaelewa pale utakapoona athari yake kwako mwenyewe na nduguzo...

Kwa uovu huu ndugu yangu, usije ukafikiri wewe uko salama. Never, you are not safe..

Furahini kwa sasa, lakini nyakati za kulia na kusaga meno kwa matendo yenu zinakuja na haziko mbali...!
 
Mtoa Mada na washirika wako, kaditri mnavyozidi kuwa andika ndivyo mnavyozidi kuwa fanyia promotion bila kulipwa hata chapa. Akili hiyo hamnazo, mnawazia Buku 7 ili kuwahi k vant😂😂😂😂😂😂😂😂
 
Hakuna mtu aliyegeuzwa zuzu mkuu, kimsingi Chadema hakuna kitu sasa mnaweza ongea watu wakawaelewa, Watanzania wanataka waone Hospital zenye wahudumu na Vifaa Tiba vipo, Shule bora, Barabara, huduma za maji na vyote hivyo wanaviona vinatekelezwa
Hii ni bushit mkuu, ITV 3days ago wametoa tatizo la maji Safi pale mpwapwa, yaani hawajapata maji Safi na salama since independence (60yrs ago)!,Kigoma kuna watu wanazeeka na watakufa bila ya kuona barabara ya lami!,mkuu nipe vitu vya kujivunia vya serikali ya chama dola, Mfugale, ubungo yale ni madaraja sio fly over na huku lingusenguse mkuu jaribu kutembelea hautaamini utakayoyaona (JF in members kutoka ruvuma pls prove me wrong)
 
Hakuna mtu aliyegeuzwa zuzu mkuu, kimsingi Chadema hakuna kitu sasa mnaweza ongea watu wakawaelewa, Watanzania wanataka waone Hospital zenye wahudumu na Vifaa Tiba vipo, Shule bora, Barabara, huduma za maji na vyote hivyo wanaviona vinatekelezwa
Wewe na kopo la chooni tena kile cha stendi hamna tofauti

Zuzu likiwa Zuzu ni Zuzu msukule DAIMA
 
Katika hali isiyo kuwa ya kawaida Chama cha Demokrasia na Maendeleo kimetoa shutuma kali kwa Wanaharakati na Asasi/Mashirika ya kutetea haki za binadamu kuwa yamewatelekeza katika harakati zao.

Kwa muda tofauti, Viongozi wa Chadema wamekuwa wakilalamika kuwa Asasi na Mashirika ya kutetea haki za binadamu zimewatelekeza katika mapambano hayo, Catherine Ruge amesema mashirika haya yamekuwa yakipokea fedha za bure bila kutaja ni akina nani wanawapa.

Ushauri wa Bure kwa Chadema na Mwenyekiti Freeman Mbowe. Watanzania sasa wanataka Maendeleo, wanataka kusikia mkiwaunganisha Watanzania katika kuhakikisha Tanzania inasonga mbele, Watanzania na Wadau mbali mbali watawaunga mkono kama tu Mtakuwa wa kweli kusaidiana na Serikali kuhakikisha mnawaletea Watanzania Maendeleo

Mh. Rais anapambana kuhakikisha Watanzania wanapata huduma bora za Elimu, Afya, Maji, Serikali hailali kuhakikisha miradi yote inakamilika, Watanzania wako pamoja na Mh. Rais katika kuhakikisha tunafikia malengo tuliyojiwekea na si kila siku kufanya siasa za kufitinisha Wananachi na Serikali yao.

Mwezi wa Kumi na Mbili tukiwa tunaenda zetu Moshi tutapita kwenye daraja jipya la pale Wami litakuwa limekamilika kwa asilimia mia moja.


Kazi Iendelee

Mwenyezi Mungu ibariki Tanzania

Mwenyezi Mungu mbariki Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan.
Hao wanaouliwa kwa visingizio visivyo na uthibitisho wa kutosha nao watapata maendeleo?Nilikuwa nafikiri maendeleo bora kabisa ni kulinda Haki za Binadamu.
Kama maendeleo ni kuisifia Serikali,mimi siyahitaji.
 
Mwongo wewe..!

Juzi CHADEMA walikuwa na Press Conference. Hakukusikika kauli ya chama kama hii ya "wametutelekeza".

Habari ya taasisi za kutetea haki za binadamu kama TAMWA, TLS, TAWLA nk kuwa kimya katika nyakati hizi za matukio ya uvunjifu wa haki za binadamu unaofanywa na vyombo vya serikali hususani POLISI ni maswali ya kila mtu wala siyo CHADEMA tu...

Wewe kama uko obsessed na CHADEMA na kutaka kuwatengenezea taswira mbaya, hiyo ni shida yako binafsi..

Lakini kwa kifupi, WEWE NI MWONGO..!!

Kama nilivyosema hapo juu, YES...

Haya mashirika hayafanyi kazi zao, yamenyamaza kimya hata pale haki za binadamu zinapovunjwa waziwazi kama tukio la juzi kule Serengeti la polisi kuua watu wasio na hatia...


Mpumbavu na mjinga wewe...!

Maendeleo katikati ya serikali inayomwaga damu za watu ni upumbavu na ni ujinga na ni laana kwa nchi...!!

Kazi gani iendelee..?

Ya kuua watu??

Damu za watu zisizo na hatia zinawalilia toka ardhini. Zinapeleka sauti kwa Mungu Yehova kudai HAKI na KISASI...

Mtakufa midomo wazi kwa propaganda zenu za kijinga na kipumbavu.....shauri lenu..
Hakuna nilichosema uongo, Catherine Ruge ambaye ni kiongozi wa Chadema, amezungumza mara nyingi juu ya kutelekezwa katika hili, labda kama wewe huishi Tanzania.
Kazi Iendeleee ya Utekelezaji wa miradi ya Maendeleo.
Mungu ibariki Tanzania
 
Back
Top Bottom