Kobello
JF-Expert Member
- Feb 20, 2011
- 8,654
- 7,949
Depending on what you mean by "deep south".It must be, but that's definitely not the case in the deep south!
Depending on what you mean by "deep south".It must be, but that's definitely not the case in the deep south!
Labda unaishi machimbo na matrash wenzako mliojazana welfare,kuna weusi all over US ambao ni business owners,Drs,Engineers,CEOs etc nenda Hamptons or Beverly Hills mamilionea weusi kibao tuu..wewe ukikutana na trash nyeusi na kusikiliza foxnews basi unafikiri weusi wote washenzi kama mabwana zako trash za kizungu mliojazana welfare na Medicaid mnakula bure ,racism ipo na wazungu wamejaa welfare kuliko weusi is a FACT,na acha kujidharau
Mswahili akizoea kutazama foxnews halafu akawa na mke/mme mzungu anajiona ameshakuwa mzungu.
Hivi wewe kwa nini Wanyarwanda huwapendi?
Halafu totoz kali uziotea wapi wewe mtu mwenye uko 5'5?
Je mswahili aliyezoea kutazama MSNBC je, yukoje?
Haa aaahh haaa.....6'2" hapa acha utani 5'5" ni vimo vyenu,mimi sichukii Rwandese sipendi wale genociders wanaokuja humu kudanganya what happened in 1994
Mwongo!..
Mademu wa kinugu kukuweka kwenye papers kazi sana. They often hold it down single handedly.
Whites lazima wakupeleke court.
Hivi wewe totoz kali uziotea wapi wewe mtu mwenye uko 5'5?
You' re so good at steering up the pot...lol!, U ready for da Bird?!
More than ready!
I've got the bird, panko-crusted green bean casserole, mac n' cheese, cornbread and sausage stuffing, apple pie, and cranberry sauce.
Drinks: Clementine sparkler, pomegranate fizz, and apple cider.
Hivi kwa nini black America wapo hivi jamani.jesse Jackson alisema akitembea barabarani anajiona safe akikutana na wazungu mwafrika mweusi anaogopa.Its sad kwa kweli
Kwanini hili swala umeanza kuliangalia kwa jicho la ubaguzi haraka hivi? hivi mtu unaambiwa weka mikono juu halafu unachomoa kitu kinacho fanana na risasi unategemea nini kama si kudhibitiwa kwa moto? Ni nani angejua hiyo ilikuwa bunduki bandia? Ni nani angejua alikuwa ana tania?
Na kuhakikishia kuwa ukifanya hivi hata Tanzania utatandikwa risasi kabisa ili halina mjadala....we we ni criminal!
Nakubaliana na wanaosema kuwa watunge sheria za kuweka rangi fulani kwenye bunduki bandia!
Labda tuanze kuhoji alipigwa sehemu gani ya mwili na alikuwa amesimama vipi ili kuangalia kama kulikuwa na kusudia la kuuwa!
More than ready!
I've got the bird, panko-crusted green bean casserole, mac n' cheese, cornbread and sausage stuffing, apple pie, and cranberry sauce.
Drinks: Clementine sparkler, pomegranate fizz, and apple cider.
Hivi ushawahi kukaa nao karibu au kuwa jirani au kifanya nao kazi .Kwanza wanaweza kukuua kwa dollar 2 ,wambea Hao wabongo wananafuu,Wakikutishia maisha hawatanii ,Wavivu mnoooo ,hawaaminiki,Wanawake wanazaa wewe na child support watahakikisha hulali usingizi.Racism ndio ticket ya kujitetea.umewaona mwenyewe kwenye tv .
Tatizo lao hawa. Brazaz and sistaz wamejisahau sana. Warudi nyumbani, afrika. Huku ndo kwao. Kule wataendelea kuwa wageni.