Mabongo bana, mbona hata hapa bongo polisi mkurya anaua raia mchaga tena hata mahakama hafikishwi huo nao ni ubaguzi wa kikabila? Na polisi msukuma akiua raia msukuma tusemeje?! Au mzungu kwa muafrika ndo ubaguzi eti?!
Ila wazungu washenzi sana basi tu!
Ubaguzi upo kwenye damu ht iweje wana pretend tu
Maamuzi haya yangefanywa nchi nyingine,ungeona jinsi Marekani na wa2 wa haki za bnadam wanaingilia kati swala hili na kulivalia njuga.Ila kwa kuwa yamefanyika USA,nchi zote za magharibi kimya km hazijui kinachoendelea huko
Pole sana mkuu...tutasahau tu...!Sisi tupo Africa, sasa unatulazimisha tuchangie mada iliyotokea MArekani ambako hatujui kiundani hiyo kesi ilipelekwa vipi.
I
Au una njama za kutuondoa katika kufikiria pesa zetu za ESCROW????? kwa kujadili mauaji Marekani???
MIZAMBWA
INANIUMA SANA!!!
Nimependa watu awapendi ujinga wazungu wengi wanaubaguzi sana
Kwa vile waliofanya ubaguzi huu ni mmarekani,hakuna atakaechangia Uzi huu.
Tatizo lao hawa. Brazaz and sistaz wamejisahau sana. Warudi nyumbani, afrika. Huku ndo kwao. Kule wataendelea kuwa wageni.
Wazungu ni washenzi kweli lakini na sisi watu weusi tujiheshimu na tutaheshimika
Kwanini hili swala umeanza kuliangalia kwa jicho la ubaguzi haraka hivi? hivi mtu unaambiwa weka mikono juu halafu unachomoa kitu kinacho fanana na risasi unategemea nini kama si kudhibitiwa kwa moto? Ni nani angejua hiyo ilikuwa bunduki bandia? Ni nani angejua alikuwa ana tania?
Na kuhakikishia kuwa ukifanya hivi hata Tanzania utatandikwa risasi kabisa ili halina mjadala....we we ni criminal!
Nakubaliana na wanaosema kuwa watunge sheria za kuweka rangi fulani kwenye bunduki bandia!
Labda tuanze kuhoji alipigwa sehemu gani ya mwili na alikuwa amesimama vipi ili kuangalia kama kulikuwa na kusudia la kuuwa!
US tunajua kuwa si nchi ya weusi, weusi wanachukuliwa kama bado watumwa tu!!! Wao wenyewe uko wanalalamika sana lakini changes ni kidogo sana au Hakuna.Lakini hata hao weusi wa Marekani bado sisi huku wanatuona kuwa na tofauti na wao, Hawajali na si hatujali!!! Kama umesahau rais wa Marekani ni mweusi !! Awasaidie kama anaweza.kuna watu humu ukija Uzi kuikosoa US wanajifanya hawaoni.....yani wanaiona U S ni mungu ...ukiisema vibaya wanakimbilia kuwaambia mods waondoe Uzi....
Hao wamarekani weusi huko wengi wako kama wewe na ndiyo maana wanapata matatizo hayo.
pamoja na kwamba mimi ni mweusi sina hizo tabia za wamarekani weusi na ni mekaa na hao wazungu wako na shida lakini ukijiheshimu na wao watakuheshimu usitegemee utaheshemika kama uko violent na ukifungua mdomo ni matusi tu.
Ila wazungu washenzi sana basi tu!
Ubaguzi upo kwenye damu ht iweje wana pretend tu