Humorous Junior
JF-Expert Member
- Jul 19, 2018
- 1,598
- 1,408
Unaanza nae tuKinachonishangaza wadada wengi wanapenda sana kuangalia porn,
Ila mkiwa pamoja ukiweka anazuga kama hajawahi kuona!
Unaanza nae tuKinachonishangaza wadada wengi wanapenda sana kuangalia porn,
Ila mkiwa pamoja ukiweka anazuga kama hajawahi kuona!
Hii ni chai ya wazi wazi.Mkuu ukiachana na kuwa Martial Arts alikuwa akicheza porn video
Huenda ikakushangaza ikakufurahisha au ikakuogopesha ila iko hivi kuhusu porn videos nchini Marekani pekee
Kila baada ya dakika 39 video mpya ya porn inakuwa imekamilika kuandaliwa
Kila sekunde watu 28258 hutazama porn kwenye internet
Kila sekunde moja dola 3075 inatumika kuangalizia porn kwenye internet
Kila sekunde neno adult linaandikwa na watu 372 kwenye search engines
Wamarekani milion 40 huangalia porn kwa wakati tofauti tofauti
Jinsia ya kike inaongoza kutazama porn
Wachezaji hupimwa HIV kila baada ya wiki nne
35% ya vitu vinavyodownlodiwa kwenye internet vinajumuisha porn
Wastani wamarekani milion 32 hutumia computer zao za kazini kuangalia porn
Tupate break kisha tutarudi tena Marekani
Nchi zinazoongoza kutazama porn ulimwenguni ni;
1.United states
2.United kingdom
3.Canada
4.Ireland
5.New zealand
6.Norway
7.Iceland
8.Australia
9.Sweeden
10.Denmark
Tuwafahamu washiriki wa filamu hizi
Asilimia 92 ya wacheza filamu hizi wanaelimu ngazi ya masters
Wao pia huangalia filamu walizozicheza
Wacheza filamu wa kiume hutumia viagra sindano na viamshi vingine ili dushelele kumudu kusimama dede mbele ya kamera
Wacheza filamu wengi ni bisexual
Eneo la Sait Barbara ndio linaongoza kutengenezwa filamu nyingi za ngono
Wacheza filamu wa kawaida wa kiume hulipwa hadi dola 800 lakini watakocheza kwa mtindo wa kishoga hulipwa mara nne zaidi ya kucheza kawaida, hii hupelekea hata wasio mashoga kukimbilia kucheza filamu za mashoga
Malipo
Scene ya msichana na msichana dola 600
Scene ya mvulana na msichana dola 1000
Scene ya kinyume na maumbile ni dollar 1200
Scene ya dushe mbili kwa pamoja (DP) ni dola 4000
Porn industry inatengeneza pesa nyingi kuliko ligi kuu ya kikapu nchini marekani
Kawaida wacheza filamu za ngono wa kike hupata dola 100000 hadi dola 250000 kwa mwaka
Ambapo wacheza filamu wa kiume hupata dola 40000 kwa mwaka
Jenna Jameson anamiliki utajiri wa zaidi ya dola milion 30
Hayo ni machache tu kwa leo
Mawazo ya primary school ayaNi kweli sio zote ni kweli kuna website nimesahau jina walikua wanaonesha jinsi wanavyotengeneza porn mda mwingine actor anakuwa na nguo zake lakini wataalamu wa graphics wanafanya yao
Pilau zinaleta maendeleoSASA MBONA HIZO NCHI ZINAZOONGOZA KUANGALIA.PORN WANA MAENDELEO SANA??
Haya mahubiri yako peleka kwa mwamposaPicha za uchi na za ngono hazikutengenezwa kwa lengo la kukupatia burudani wala kukupatia furaha; zilikusudiwa kwa lengo la kuwaangamiza kabisa watengenezaji na watazamaji wake. Humjaza mtu husika hashiki na tamaa kali ya kimapezi na humfanya aendelee kutaka kuangalia zaidi na zaidi. Matokeo yake ni kwamba huibuka ndani yake vitendo viovu sana na ukatili wa kimapenzi, huelekea katika njia ya uangamivu wa hakika kwa sababu ya kushindwa huku kujitawala.
Watu wasio na akili hupenda kutazama picha na video hizi bila kujua kuwa wanaalika mapepo ya tamaa ya mwili ndani yao wenyewe. Ni njia kuu kabisa ya kualika mapepo katika maisha ya mtu. Wala mapepo hawahitaji kuwa na funguo za ziada kuingia ndani yako. Wanachohitaji tu kufanya ni kukushawishi uangalie picha zao chafu hata kama ni kwa kiasi kidogo tu, na hapo ndipo tayari umekuwa umewaalika katika maisha yako! Utaendelea zaidi na zaidi, na kwa wengi huwa jambo la kawaida; japo utatamani kujinasua, lakini hutakuwa na nguvu hizo kwa sababu ya kushikiliwa na nguvu za giza! Unapokaa mwenyewe kuangalia picha hizi, hauko peke yako!
Huwa umezungukwa na malaika waovu wakitazama udhaifu wako ili waendelee kukushambulia na kukushinikiza zaidi na hatimaye kukuangamiza kabisa. Wanapogundua udhaifu wako katika eneo ili, hapo ndipo huendelea kukushambulia na kufanya iwe ngumu sana kwako kushinda. Ndiyo maana watu ambao wanajihusisha katika vitendo hivi, hata ingawa hufanya maamuzi ya mara kwa mara kuacha na kujiepusha nayo, hujikuta tu wamerudia dhambi ileile tena na tena!
Lakini habari njema ni kwamba, bado unaweza kushinda na kuutawala mwili wako vyema kwa uwezo wa Mungu! Anasema, “Mtiini Mungu; mpingeni Shetani, naye atawakimbia.” Kwa njia ya kumtegemea Yeye na kuwa na nidhamu ya maisha yako, kwa njia ya kufunga na kuomba, unaweza kuwa mshindi kabisa. Vinginevyo, mapepo hayo ya kishetani yatakuteka kabisa na kuwa kikwazo katika njia yako ili kukunasa, na kwa kweli utakuwa ukipuuzia mambo ya msingi ya kimaisha, na kila wakati utapenda kupoteza muda na rafiki wasiojali ili kuendekeza tamaa za mwili. Ndio maana maisha ya watu wengi, hasa vijana, pamoja na kuwa wana uwezo mkubwa sana wa kiakili, wana fedha, lakini maisha yao hayana maana—wanaishi bila kuridhika na wanatumikia mwili wao kwa ubinafsi, hadi wanapofikwa na mauti ya ghafla bila wao kujua, na huo ndio mwisho wa maisha yao! Wamepoteza nguvu, akili na ubora na manufaa yao wakati ambapo wangeweza kuwa watu wanaoheshimika na wenye kuleta faida na maendeleo bora katika jamii na taifa.
Tunapaswa kutambua kuwa waigizaji na wale wanaojihusisha kuangalia picha na video za ngono hutumiwa na mashetani ili kujihusisha katika uovu na ufuska mkubwa sana uliopita kiasi huku wakidhalilisha na kufedhehesha miili yao. Wanaume waliooa ambao wametekwa na uraibu wa ponografia hujikuta kwamba ni vigumu sana kufanya mapenzi bora na wake zao, na kuridhika; vijana ambao hawajao pia hujihusisha katika vitendo vingine viovu zaidi kama vile kupiga punyeto, nk.
Ni dhahiri kwamba madhara ya picha za ngono ni makubwa sana. Channel za televisheni, mitandao, magazeti na kadhalika, vinavyohusika na vitu hivi vina lengo moja tu la kuharibu kabisa maisha yako, na hatimaye kukuangamiza bila wewe kufahamu. Sehemu ya kubwa ya uovu duniani hutokana na kujihusisha na vitendo hivi. Ni hatari vilevile kuangalia picha na mikanda au video za ngono hata kama umeoa au hata kama uko na mkeo. Mungu kamwe hawezi kuruhusu machukizo hayo ya kishetani kwa sababu anajua huangamiza moja kwa moja uhusiano bora wa kimapenzi kati yenu, huvuruga akili na kuharibu na kuangamiza maisha yako bila wewe kujua. Hukufanya uwaone jinsi ya kike kama vyombo vya ngono! Na mbaya zaidi, ni dhambi kuu dhidi Yake.
Kwa hiyo wapendwa hebu fanya uamuzi wa dhati tangu sana kwamba unahitaji kukombolewa kutoka katika picha na video za ngono, wakati huu ambapo bado ungali na nafasi ya kutubu na kufanya mabadiliko, kabla maisha yako hayajaangamizwa. Baadhi ya watu huthubutu kuingiza picha chafu hata kwenye mitandao ya kijamii. Usifungue video hizi! Kwenye mtandao wa WhatsApp zima settings za autodownload ili picha au video zikiingia zisiweze kupakuliwa moja kwa moja. Mtahadharishe mhusika juu ya madhara yake. Wabloku watu wa namna hiyo kwa sababu hawakutakii mema na wanakupeleka jehanamu! Waonye vijana na wapendwa wanaoelekea katika hatari hii bila kujua. Jihusishe katika mambo mema yanayojenga akili na kuleta tija katika maisha yako.
Mungu anatuambia leo: “5 Basi, vifisheni viungo vyenu vilivyo katika nchi, uasherati, uchafu, tamaa mbaya, mawazo mabaya, na kutamani, ndiyo ibada ya sanamu; 6 kwa ajili ya mambo hayo huja ghadhabu ya Mungu. 7 Katika hayo ninyi nanyi mlitembea zamani, mlipoishi katika hayo. 8 Lakini sasa yawekeni mbali nanyi haya yote, hasira, na ghadhabu, na uovu, na matukano, na matusi vinywani mwenu. 9 Msiambiane uongo, kwa kuwa mmevua kabisa utu wa kale, pamoja na matendo yake; 10 mkivaa utu mpya, unaofanywa upya upate ufahamu sawasawa na mfano Wake Yeye aliyeuumba.”
Wakolosai 3:5-10.
“Wala msiendelee kuvitoa viungo vyenu kuwa silaha za dhuluma kwa dhambi; bali jitoeni wenyewe kwa Mungu kama walio hai baada ya kufa, na viungo vyenu kwa Mungu kuwa silaha za haki.” Warumi 6:13.
Yule dada ni hatari sn,,Kuna dada anaitwa naomi russel
Kumbe na wewe unamkubaliYule dada ni hatari sn,,
Kuna ngoma moja ya Kanye West mpaka kamuweka katika verse, "Damn baby pus*y can't be your only HUSTLE.. Unless you bad as Naomi RUSSEL!!!"Kuna dada anaitwa naomi russel
Hivi bado yupo huyu dada?Kuna ngoma moja ya Kanye West mpaka kamuweka katika verse, "Damn baby pus*y can't be your only HUSTLE.. Unless you bad as Naomi RUSSEL!!!"
Ile manzi ni fireeee
Elimu kwa nchi za magharibi sio heshima kama ilivyo nchi za kimaskini hasa kama tanzania , tanzania ninouta ujinga wa mtu kutamba na ki degree kimoja anataka atambulike ulimwengu mzima.Hapo kwenye asilimia 92 ya waigizaji kuwa na masters umetuingiza chaka mzee mwenzangu
Acha kabisa yule mtuYule dada ni hatari sn,,
Kuna ngoma moja ya Kanye West mpaka kamuweka katika verse, "Damn baby pus*y can't be your only HUSTLE.. Unless you bad as Naomi RUSSEL!!!"
Ile manzi ni fireeee
Hahahahahahaaaaaaaaper movie
je mwez mzma unahisi wanaigiza muvie ngap???
porn sio ka normal muvie mnaitengeneza miezi mitatu ile wakishasema set tu mtanange unaanza
Mende mwandamiziHao akina Pinky ni washamba tu