Mabwe Tumaini girls high shool

Mabwe Tumaini girls high shool

Night Watch

JF-Expert Member
Joined
Apr 4, 2017
Posts
2,102
Reaction score
2,152
Eid Mubarak wana jamiiforms wenzangu natumai tunaendelea kusherekea kwa amani sikukuu ya Eid.
.
.
.
Kuna binamu yangu amechaguliwa kwenda advance shule ya MABWE TUMAINI GIRLS ipo wilaya ya kinondoni mkoa wa Dar es salaam.
Tatizo linakuja hii shule kila tunayemuuliza mahali ilipo haifahamu ilipo,kama inavyojulikana wilaya ya kinondoni ni kubwa.
.
.
Nimejaribu kutumia Google kuitafuta hii shule lakini nako nimeshindwa kupata ufumbuzi.
.
.
Napenda kuomba msaada kwa yeyote anaeifahamu hii shule ipo sehemu gani wilaya ya kinondoni.Humu jamvini tupo wengi natumai kupata msaada kwa hill.
.
.
Napenda kutanguliza shukrani zangu natumai nitapata msaada kwa hili.
 
Shule ipo kata ya mabwepande.
Ukitoka Mfano Makumbusho kituo cha basi panda gari zimeandikwa makumbusho mabwepande zinaishia mabwepande mwisho.then chukua pikipiki ni 1000 tu , nauli, ukipanda gari za bunju pia unaweza shuka bunju B , then ukapnda gari zinazoingia huko mabwepande.
Ni shule mpya inaanza mwaka huu boarding.
 
Shule ipo kata ya mabwepande.
Ukitoka Mfano Makumbusho kituo cha basi panda gari zimeandikwa makumbusho mabwepande zinaishia mabwepande mwisho.then chukua pikipiki ni 1000 tu , nauli, ukipanda gari za bunju pia unaweza shuka bunju B , then ukapnda gari zinazoingia huko mabwepande.
Ni shule mpya inaanza mwaka huu boarding.
Shukrani mkuu maelezo yako yamejitosheleza nimepata mwanga kufika hapo ilipo.
 
Back
Top Bottom