hicho kiatu .... kivue!
Kweli naona kama MAONO
Inatia uchungu sana pale wachungaji,askofu na wainjilisti wanapo dhalilishwa na kutukanwa na kuzomewa na watu wengi.eti kisa tuu Rose mhando kaingia mitini,na pay slip zinaonyesha kaingiziwa milioni tatu kwenye akaunti yake tayari.
Sijui mwisho wake Rose utakuwaje,hata mimi mwenyewe nimeumia sana na kuanzia leo sitanunua wala kusikiliza kazi zake.
Au ni dau dogo kapewa.jaman pesa isiwe mbele sana kuliko huduma.umepokea bure toa bure
Mungu anacheka...
Rose Mhando ni mtumishi wa Mungu. Hawezi kuingia mitini bila sababu. Vuteni subira atakuja siku nyingine
Rose mhando,
KUMBE NDIVYOOO ULIVYOOOO..
Hakika hicho kiatu kivue
Karatu ushamba umezidi. ndio maana Dr. Slaa yuko vile alivyo...
Kiatu cha zulma akivue
Karatu ushamba umezidi. ndio maana Dr. Slaa yuko vile alivyo...
Karatu ushamba umezidi. ndio maana Dr. Slaa yuko vile alivyo...
Karatu ushamba umezidi. ndio maana Dr. Slaa yuko vile alivyo...
Rose Mhando ni mtumishi wa Mungu. Hawezi kuingia mitini bila sababu. Vuteni subira atakuja siku nyingine