Mabomu yarindima Karatu kisa Rose Mhando

Mabomu yarindima Karatu kisa Rose Mhando

Hivi kwanin mtu uhaidi af usitekeleze jamani?
Inaboa kama kweli,otherwise labda jina lake liwe limetumiwa bure ... Ili wapate hela.
Vinginevyo anajiondolea uamibifu

ajiondolee mara ngapi? hivi umesikia show za rose mara ngapi kwa sasa, subiri tu, Mungu huwa hadhihakiwi mkuu Swts utaona tu taraaatibu watu wanatupa kapuni. si umeona mwasumbi kafungwa kiaka 30 na alihiti miaka hiyo mbaya kwenye gospel
 
Last edited by a moderator:
ajiondolee mara ngapi? hivi umesikia show za rose mara ngapi kwa sasa, subiri tu, Mungu huwa hadhihakiwi mkuu Swts utaona tu taraaatibu watu wanatupa kapuni. si umeona mwasumbi kafungwa kiaka 30 na alihiti miaka hiyo mbaya kwenye gospel

mwasumbi ni nani mkuu?amefungwa amefanyaje?
 
Last edited by a moderator:
ajiondolee mara ngapi? hivi umesikia show za rose mara ngapi kwa sasa, subiri tu, Mungu huwa hadhihakiwi mkuu Swts utaona tu taraaatibu watu wanatupa kapuni. si umeona mwasumbi kafungwa kiaka 30 na alihiti miaka hiyo mbaya kwenye gospel

Mwasumbi yupi kafungwa? ni Yule alkuwa anapiga gitaa solo artist???? Anyway Rose sasa ni tapeli bila milion 3 hata mkutano wa Injili haimbi, then mara nyingi hupewa hela na kwenye show asitokee hii tabia hata Flora Mbasha ameianza unamlipa afu siku ya show hatokei
 
Last edited by a moderator:
''Wengi watakuja, na kunena kw jina langu'' hawa matapeli wapo wengi, na huyu ni mmojawapo. wanasema eti, nanukuu, '' unatangaza injili kiroho, au unatangaza ili upate pesa?
 
Hizo mambo ni Biashara km ilivyobiashara nyingine Na huyo ndugu anadhilisha Biashara ya mswahili ilivyo! manake mswahili akilidhika kwenye BIASHARA wateja wake huwa anawaona maBWEGE! so ni uamuzi wa wateja wake km waendelee nae au waachane nae kz ni kwao!
 
Neno la mungu Halilipiwi. Hakuna show ya neno la mungu.

Wajinga ndio waliwao.

kweli kabisa, halafu huyu dada Rose bangi kabisa ndio tabia yake ya kupokea hela na kuingia mitini
 
Kuna mdau aliwahi lalamika hilo wasanii wakubwa kutangazwa watakuwepo mwishi wa siku wanaingia mitini.
 
Huyo Promota alikuwa anampigia au anambip? Maana mapromota wa bongo kwa kubip hawajambo....
 
Hiyo ndo tabia ya Rose Mhando kwani mara nyingi hatokei. Sijui ni kujisikia au ni kitu gani ilihali ameinuliwa na wasikilizaji wa nyimbo zake
 
sasa tutamtofautisha je na waimbaji wa nyimbo za dunia? Kwanza bora wao huwa wanaudhuria baada ya kula chao

mtachuma dhambi nyingi juu ya hili jina na Rose Mhando
 
Naoooooona Kama Maoono Kumbe Rose ndivyo ulivyo.


TRA watozeni kodi hawa ni wafanya biashara.
 
Kwani si wangepiga nyimbo zake tu na kuweka picha zake tu au wangewawekea projector tu
 
Hivi wapenzi wa rose hawajui kwa sasa anatibiwa anatatizo kiafya wangekuwa wanafatilia taharifa zake wasingekuwa wanaibiwa na hao matapeli
 
huwezi jua kwanini kafanya hivyo pengine kosa la mwingine yeye ndo jumba bovu linamwangukia.hakimu anayehukumu bila kusikiliza pande zote huyo si hakimu, asikilizwe. wakati mwingine hata hao wachukungaji ama wainjilisti wanapiga mahela halafu mwimbaji wanamwambia utalipwa mbinguni,na lawama kuishia kwa waimbaji wanapochoshwa.its unfair, unless Rose is also heard.
 
Back
Top Bottom