Mamaya
JF-Expert Member
- Jul 4, 2011
- 5,242
- 4,743
Hivi kwanin mtu uhaidi af usitekeleze jamani?
Inaboa kama kweli,otherwise labda jina lake liwe limetumiwa bure ... Ili wapate hela.
Vinginevyo anajiondolea uamibifu
ajiondolee mara ngapi? hivi umesikia show za rose mara ngapi kwa sasa, subiri tu, Mungu huwa hadhihakiwi mkuu Swts utaona tu taraaatibu watu wanatupa kapuni. si umeona mwasumbi kafungwa kiaka 30 na alihiti miaka hiyo mbaya kwenye gospel
Last edited by a moderator: