Mongoiwe
JF-Expert Member
- Feb 26, 2008
- 524
- 263
Kuna Taarifa kuwa Magu Mjini mabomu yameanza kupigwa huko Magu baada ya kucheleweshwa kwa matokeo, vulugu zilizuka kutokana na watu kuhisi walikuwa wakipanga namna na kuchakachua matokeo kwa vile kila majumuisho toka Kata walikuwa yakionyesha Lugongoteke Julias- UDP ameshinda