Unajua UKAWA wanatakiwa wajue haya kuna sehemu CCM wanakuwa wanaandikisha watu wawili ama watatu harafu wanaacha page mbili ama nne ili wawajaze watu wao baada ya kuwa wameandikisha muda wa kawaida sasa sijui kama CHADEMA,CUF NCCR wanalijua hilo na wamejiandaaje kwa hilo ndugu yangu TumainiMakene upo kaa chonjo CCM ni hatari!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.