Milipuko imeanza tena hii haiwezi kuwa fataki saa 9 usiku.Duu watu hamlali mpo tu mnalinda nchi isiibiwe na mnasikiliza nini kinafanyika.....
Nimeipenda sana hii.Ni bora kupigana na wanyama kuliko mabomu.
Nimeipenda sana hii.
nipo stand nakusubiri.
nipo kigoma huku pia nasikia
sasa hii doomsday! faya hadi kigoma?!
Jana CCM walikuwa na sherehe pale mnazi mmoja wamekesha! Nimepita pale saa saba usiku wapiga mafataki sijui sherehe za nini JK nae alikuepoMilipuko imeanza tena hii haiwezi kuwa fataki saa 9 usiku.