zumbemkuu
JF-Expert Member
- Sep 11, 2010
- 10,831
- 8,620
Jana CCM walikuwa na sherehe pale mnazi mmoja wamekesha! Nimepita pale saa saba usiku wapiga mafataki sijui sherehe za nini JK nae alikuepo
sherehe za kuzindua kitabu cha ahadi za JK.
Jana CCM walikuwa na sherehe pale mnazi mmoja wamekesha! Nimepita pale saa saba usiku wapiga mafataki sijui sherehe za nini JK nae alikuepo
Kwani mkuu umesahau sherehe za kuzaliwa TANU? Utakuwa mkesha wa saba saba tu....hii saba saba ni sherehe za kuzaliwa TANU tu, hilo la kusema ni siku ya wafanya biashara ni changa la macho tu?Jana CCM walikuwa na sherehe pale mnazi mmoja wamekesha! Nimepita pale saa saba usiku wapiga mafataki sijui sherehe za nini JK nae alikuepo